Watu wanaoa ‘connection’

Watu wanaoa ‘connection’

Inasemekana ati usioe au kuanzisha mahusiano na mwanamke aliyekuzidi matatizo...
 
Sema maisha magumu acha vijana waoe tu hao wakishua dah . Mtu chap anaendesha Prado hapa mjini . Mungu atuinue na sie tunaosaka chapa .
 
Ah wapi mimi mwenyewe natafuta connection hapa . Muoe wakishua huko na sie tupone kidunchu Extrovert
 
Lovelovie Tinsley To yeye kumbe kuna baadhi ya wanaume wanaojiuza kwa wanawake, kuoa mwanamke usiempenda kisa ametoka familia tajiri, huko ni kujiuza..
Hiyo sio kujiuza, ni kama vile wanawake wanavyokwenda kwa "Mwanaume" wasiompenda, sababu tu ya kupata "uhakika" wa mahitaji yao na Maisha, kisha wanatafuta "wanaompenda" ki-chinichini . Sasa Wanaume nao wameona hiyo "Opportunity" au "window" na wanaitumia "effectively".
 
😂😂😂😁😁😁! Bado hujaopoa chombo kulee??!
Naona Mzee wa kuwekanaaa ERoni alikuencourage kuwa it won't be long utanyanyua chomboooo!! !
Kila la kheriiiiiiiiiii😃!
Mi humu huwa nina Tease tu, ila nikitaka 🙀 ni anytime!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom