Mjasiriamali1
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 891
- 240
Naomba msaada hapo wadau? ni kweli google store wanalipa watu ukiwa na downloader wengi katika app yako?
ile ni app market tu yaani ni soko la program za android kwahiyo playstore haimlipi mtu kwa kuweka apps zake sokoni ila inamchaji 25$(kodi ya soko) maramoja tu pale unapojisajilinaomba msaaada hapo wadau? ni kweli google store wanalipa watu ukiwa na downloader wengi katika app yako?
ile ni app market tu yaani ni soko la program za android kwahiyo playstore haimlipi mtu kwa kuweka apps zake sokoni ila inamchaji 25$(kodi ya soko) maramoja tu pale unapojisajili
swali lako ni kama kuuliza "hivi soko la kariakoo linalipa wale wafanyabiashara walioweka bidhaa zao pale sokoni"?
mfano mtamu sanapoa tuko pamojaThanks nimeelewa