Binafsi nina ndugu zangu watatu ambao wameamua kurudi nyumbani baada
ya Maisha ya Dar kuwashinda, sio Jambo la kushangaza lakini tatzo safari hii
imekuwa too much Ukiacha hao kuna watu kadhaa ambao waliadimika kwa
miaka mingi nao wanarejea nyumbani mbaya zaidi wengine wamekuwa wakifanya
fujo kugombea mashamba na mali nyingine za urithi ambazo hapo mwanzo
hawakuwa na mpango nazo. Kunani Dar kwanini watu wanalikimbia jiji?
Nimecheka sana eti WANAGOMBEA MASHAMBA NA MALI AMBAZO MWANZO HAWAKUWA NA MPANGO NAZO.
Hawa watakuwa ni wayahudi wanaorudi nchi ya ahadi....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dereva wa roli alishasema, atakayekuwepo Dar hadi mwezi wa saba, ni mwanamume!
Na bahati nzuri wale wanaorudi ndio waliokuwa wanashabikia sana utumbuaji wa majipu!