ππππ nimechekaa km chizi vilee. LolSikupiga picha manake nimestuka mixer kushangaa kuona mtu kalala chali vile barabarani mkono upo ndani ya suruali huku kafumba macho π
Sijui kichaa yule
ChaiEty nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi π
Uzi bado!!
Pale kati kati ya kituo cha msimbazi A na B yupo jamaa alikua akimaliza misele yake anaenda pale anakiwasha weeee wakaja(ga) kumtimuaSikupiga picha manake nimestuka mixer kushangaa kuona mtu kalala chali vile barabarani mkono upo ndani ya suruali huku kafumba macho π
Sijui kichaa yule
Pole sana.Ndio nimemuuliza huyu Joanah maana haya maisha yanavyoenda less ni balaa tarehe 6 June Nilikuwa na kilo 63 juzi nimepima nimejikuta nina kilo 58 πππ
Yule wa longtime plagi hazichomi akianza kujikoki watu ni kuchekaHuyu niliyemuona leo sikuwahi kumuona kabla labda katokea Msimbazi
Ipo siku utamuona Shetani...Kinyama π
Kweli kabisa hii Dunia ni yetu sote, hakuna haja ya kujificha ukiwa unapata raha yako.Nampa Hongera mwamba mwenzangu Kwa kuweza kujipa raha duniani hadharani, Mbona wao wanakunywa bia hadharani π₯
Sio leo nitaleta uzi humu π€£π€£π€£Umepoteza kama kilo 5 hivi which is good π
Tupe siri ya mafanikio ya kupungua chap namna hiyo
Aisee leo Nilikuwa maeneo hayo kwa Mawinga wa simu Nilikuwa nabadilisha protector π€£π€£π€£Pale kati kati ya kituo cha msimbazi A na B yupo jamaa alikua akimaliza misele yake anaenda pale anakiwasha weeee wakaja(ga) kumtimua