Binafsi najiuliza kwanini wengi wakisikia kiongozi anakuja mahali fulani ndio wanakuwa na mabango wengine wanalia yaani unakuta vurugu nyingi na ilhal mahali alipo kuna viongozi.
Binafsi najiuliza kwanini wengi wakisikia kiongoz anakuja mahal fulani ndio wanakuwa na mabango wengine wanalia yan unakuta vurugu nyingi na ilhal mahal alipo kuna viongozi.
Je hawa wananchi wapo sawa au wanafanya unafiki.