Kubadilishana maarifa ni jambo la asili kabisa ambalo linatokea kulingana na mazingira au hali iliyopo. Mtu mmoja anaweza akawa na ufahamu wa jambo flani, ikawa ni hiari yake kusema au kuto kusema, lakini mtu huyu mwenye kufahamu jambo flani pindi yeye mwenyewe anapo ona jambo hili linafaa kuwa wazi au yakawepo mazingira yanayo mlazimisha mtu huyu mwenye kufahamu kusema au kutumia ujuzi alionao kwa maarifa aliyo nayo kwa ajili ya kuokoa au kusaidia jambo flani.
Baada ya kusema au kutumia ujuzi wake mbele ya wengine, na ikiwa miongoni mwa hao wengine walio shuhudia ujuzi watavutiwa na ujuzi au maarifa hayo wanaweza hata kutamani kuwa na maarifa ya namna hiyo, basi kubadilishana maarifa kunaweza kufanyika kulingana na jinsi wanavyo weza kukubaliana wenyewe.
Basi sasa kila mmoja anaweza kutunza maarifa na ujuzi kwa jinsi na namna anayo ona inafaa, kwa ajili ya watu atakaoona yeye yakuwa wanafaa kujifunza kwa majira na wakati wowote wa maisha.
Baada ya kusema au kutumia ujuzi wake mbele ya wengine, na ikiwa miongoni mwa hao wengine walio shuhudia ujuzi watavutiwa na ujuzi au maarifa hayo wanaweza hata kutamani kuwa na maarifa ya namna hiyo, basi kubadilishana maarifa kunaweza kufanyika kulingana na jinsi wanavyo weza kukubaliana wenyewe.
Basi sasa kila mmoja anaweza kutunza maarifa na ujuzi kwa jinsi na namna anayo ona inafaa, kwa ajili ya watu atakaoona yeye yakuwa wanafaa kujifunza kwa majira na wakati wowote wa maisha.