Watu wa Pwani ni walio katika mikoa iliyopakana na bahari?

nyongolwe

JF-Expert Member
May 25, 2020
2,320
3,026
Hili la pwani kwetu lilizua balaa baada ya mmakonde kudai ''sisi watu wa pwani tunapenda wali'' hoja ikaanza watu wa pwani ni wapi? Je watu wa Chalinze, Lushoto, Masasi nk wana sifa ya pwani kwa vile tu wako mikoa iliyopakana na bahari? Ubishi mkubwa uliibuka bila kuwa na compromise kiasi kwamba wengine kudai hata walio kando ya ziwa wana sifa ya pwani!
 
Wanapumua (Gaseous exchange/respiration)
Wanakua (Growth)
Wanajongea (movement)
Wanatoa taka (excretion)
Wanazaliana (Reproduction)


I know I'm out of line but I'm right.👀
 
Ni mwambao wa bahari kama km50 kutoka baharini na kuambaa kufuata bahari.
Mwambao wa bahari ya hindi walipenda kuulezea lutoma lamupaka msumbiji. Hata kiswahili kilienea maeneo hayo.
Kama unaweza tagusa maji basi upo pwani.
Kumbuka kila eneo lenye bahari lina pwani, hata ulaya na China kuna pwani hivyo makonde au wayao wapo pwani tena wameenea mpaka beira msumbiji.
 
Back
Top Bottom