hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Tumzoee tu mama yetu, maana sio wote wana uwezo wa kuongea mbele za watu hata kama wakipata training.
mkuu kutoka # 1 hadi 20Aiseee basi sawa
Sio mbaya mkuu...sishindi huku JF muda wotemkuu kutoka # 1 hadi 20
Hiyo Training ya kuongea kwenye public hata baba imemshinda, ndio akaiweze mama!
Nadhani huyu mama ana woga ndani yake..
Pengine anafokewa sana anaogopa kusema neno akakosea.
Akaenda kutumbuliwa nyumbani.
love thé love or hâte thé love.....
Mkuu unatumia kinywaji gani ? Agiza maana umeongea ukweli.Tatizo hata nyumbani hapati nafasi ya kuongea
Na hautokuja kuelewa hadi mbingu na ardhi vigusane.Ahaa una maana baba yako au sijaelewa mkuu?
Tafadhali Mke wa Rais Mama Janet Magufuli apatiwe haraka sana mafunzo ya Public Speaking na Yeye mwenyewe pia ajitahidi kuondokana na hiyo aibu aliyonayo ambayo kiukweli na nafasi yake ya sasa aliyonayo hapashwi kuwa nayo.
Ni kweli kabisa ulichokisema mkuu, yule mama ana mengi ya kusema lakini kwa hekima na busara zake kama mwanamke anishia kuugulia maumivu makali.Mimi siamini mwalimu anaweza akakosa public speaking skills kwa kiasi hicho hasa ukichukulia kwamba amefanya kazi muda mrefu sana. Naamini tatizo linaanzia home, jamaa anapenda yeye peke yake ndo awe show stopper. Kwa busara na hekima za mama, anaweza akamfunika baba kirahisi. A good wife knows her place.
Na hautokuja kuelewa hadi mbingu na ardhi vigusane.