Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,958
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowaunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa Arusha. Watu wa Arusha wanajulikana hao, hatuna tatizo nao cha Arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Pole sana siasa za vitisho hazina nguvu tena
 
USIWASINGIZIE WATU WA MBEYA,NI KWAMBA WAMEICHOKA CCM,huo ndio ukweli we subiri utaona ifikapo October 25.

Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Magufuli kapewa haki yake, wewe ulitaka wamuache aendeleze ule ujinga wa kupiga push up.
 
Nyie huko ndio bado mnaishi 90s.. Mkishazomea uwa mnapata nini? Mji umeharibika sana siku hizi huo, mnaaibisha wazee wenu.


Hii zomea zomea ndo inawashikisha adabu CCM ndo maana bajeti zote za serikali vipaumbele ni MWANZA...MBEYA...KILIMANJARO...ARUSHA......

Mbona kwa masikini na majuha vipenzi wa CCM MOROGORO...TABORA....GEITA...RUVUMA hakuna maendeleo?
 
Na pia JK naye ashawahi kukong'otwa mawe huko huko Mbeya...

Magufuli kafanyiwa staha mbona...


Halafu hawa watu duni kama akina matumbo wanaleta vitisho!!

Walikuwepo makatili kama akina Gadafi wakafia mitaroni!!!

Hosni Mubarak wa Misri yuko wapi?

Nakubaliana na TWAWEZA waliposema CCM inapendwa na masikini na wasiosoma ingawa wanaonufaika nayo yaani wasomi na matajiri hawaipendi!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hamna dhiki na mnashindia maparachichi?

Mji wazawa ni manamba na wamachinga wageni ndio wenye maisha.

Hizo barabara mnazosema mmejengewa na ccm ila akili yenu inawaza fujo tu kama mngeweza mngezifumua fumua ili mridhike tu na kujiona ndio wajanja.

We ushaona wapi mtu anaechuna ngozi ya binadamu mwenzie akawa na akili sawa. Mna tatizo kubwa sana nyie watu.


Hahaaaa naona msumari umekuingia!!! naona povu linakutoka uliza level ya usomi Mbeya ikoje!!

Hata tukishindia parachichi tumeshasema CCM No!!!

Rais wamwisho kuheshimika Mbeya alikuwa Mwinyi tu wengine wote full kuzomewa!!

2010 JK aliachwa uwanjani na ze comedy wake!!!

na safari hii hata wala miguu ya kuku wa DSM nao wameamka!!!

Sio Mbeya tu ni kote kwa waliosoma na wenye afya ya akili hawaipendi CCM!!

Rejea ripoti ya TWAWEZA!!!
 
Back
Top Bottom