Mtu wa Mpitimbi Utamjua tu, hasa wa maporini hawawezi ongea bila kutaja taja kwao, hapa tumefahamu Wewe wa SongeaNimekaa na baadhi ya watu wa kipato cha chini ambao wamejenga nyumba, ukisikia trick zao, then unaona kuwa hata hawa wasomi wangefuatisha wao, basi wangeweza kutoboa.
Kiwanja:
Wakati wewe unangoja upate milioni ishirini za kununua kiwanja Goba, Makongo juu, Kinyerezi nk. watu wa kipato cha chini hukimbilia nje nje ya mji ambapo kuna viwanja vya bei chee, hadi kwa tsh milioni moja...
Material za ujenzi
Wakati wewe unatafuta hela ya kukodi 'Mende' likuletee kokoto ambazo zinagharimu hadi Tsh 1.6M, mtu wa kipato cha chini ananunua kokoto za kwenye viroba ambavyo huuzwa hadi Tsh 1500 kwa kiroba.
Wakati wewe unatafuta hela ya kununua bati za Msouth, mtu wa kipato cha chini ananunua haya mabati ya bei nafuu ya mchina au ALAF na kuezeka kwa gharama nafuu.
Wakati wewe unatafuta pesa ya kununulia milango ambapo mlango mmoja hugharimu milioni moja, mwenzako wa kipato cha chini anaagiza milango toka Songea au Moshi ambapo ataipata kwa sh laki mbili.
Wakati wewe unaendelea kusubiri muujiza wa kujenga mansion, mwenzako wa kipato cha chini anakuwa ameshamaliza nyumba yake ya vyumba vitatu na kuja kukupangisha wewe unayeishi kwenye ndoto huku akikucheka.
Jamani graduates mlioko maofisini, amkeni.... Hii life style ya kutanua na kutumia magari inawanyonya sana.
Gari kama linakughariimu Tsh laki tatu hadi nne kwa mwezi, kwa mwaka ni karibu M5. Hapo bado hujalinunua. Ukiuza gari lako leo, ukaibuka Chanika unapata kiwanja cha m3, na milioni mbili nyingine unaanza ujenzi, ndani ya mwaka mmoja hadi miwili unajikuta unakaa kwako ukiwa na uhuru wa kuendelea na bata zingine kama vile kumiliki magari ya kifahari, kula tours nje ya nchi na kuvaa vizuri nk.
Maisha ya kupanga ni maisha ya kutanga tanga... Kuna mahali nyumba za kupanga zinatiwa nyumba za kutanga tanga!
Ha haaa,siipambi mkuu kwa tafsiri maendeleo ni kuhama toka hatua moja kwenda nyingine iliyo bora kuliko ya awali,so kwa tafsiri hyo km ulikuwa unatembea kwa mguu/daladala/baiskel nk ukanunua gari ni development. Problem ni km umenunua gari kwa ajili ya ufahari huku linakunyonya utakuwa huna tofauti na anayejenga huku ubavu mdogo,kwa zama hizi gari is no longer luxurious!Usiipambe mkuu, gari ni investment ya anasa/luxury! Iko wazi, unainvest katika kitu kinachokumalizia pesa taratibu! 300000-400000 kwa mwezi jumlisha na za wear and tear! Matairi,oil,brake pads,plug n.k!
Tunao wengi mkuu,mtu anajenga km kashkiwa bunduki afu anahaha hata hela ya kula anataka akope na kibaya zaidi anakuwa kajiwekea ugumu mwenyewe watu wanaona zako ukajengee afu zangu zikalishe familia yako!Mtu anayejenga maana yake ana investment tayari. Sasa wewe unadhani kujengea mshahara utaweza! Mishahara yenyewe mingi ni chini ya million moja, af makato kibao...Ndio yale unajenga watoto wanateseka na dagaa miaka 7 kisa unajenga, kwa mangi mideni kibao!
Hata mimi mkuu huwa siwazi kujenga sababu kuna kiwanja cha bei rahisi huko sijui wapi, afu tabia ya kukaa na watu wa chini(mnisamehe) nilishakataaga unazalisha problemz nyingi sn kwny maisha. Yaani unaweza haribu hadi kizazi sababu ya watu wanaokuzunguka tu.Sasa vipato vinatofautiana ndio maana sio wote tunataka kukaa nje ya mji au kujenga nyumba kama polisi post
Huo ufala ndio sifanyi, yani nijenge kwa mateso kiasi hicho!?Tunao wengi mkuu,mtu anajenga km kashkiwa bunduki afu anahaha hata hela ya kula anataka akope na kibaya zaidi anakuwa kajiwekea ugumu mwenyewe watu wanaona zako ukajengee afu zangu zikalishe familia yako!
Ndio hicho tunachojaribu kushauri sio unajenga hadi mtoto ananyimwa nyonyo kisa ujenzi!Huo ufala ndio sifanyi, yani nijenge kwa mateso kiasi hicho!?
NatafakariNimekaa na baadhi ya watu wa kipato cha chini ambao wamejenga nyumba, ukisikia trick zao, then unaona kuwa hata hawa wasomi wangefuatisha wao, basi wangeweza kutoboa.
Kiwanja:
Wakati wewe unangoja upate milioni ishirini za kununua kiwanja Goba, Makongo juu, Kinyerezi nk. watu wa kipato cha chini hukimbilia nje nje ya mji ambapo kuna viwanja vya bei chee, hadi kwa tsh milioni moja...
Material za ujenzi
Wakati wewe unatafuta hela ya kukodi 'Mende' likuletee kokoto ambazo zinagharimu hadi Tsh 1.6M, mtu wa kipato cha chini ananunua kokoto za kwenye viroba ambavyo huuzwa hadi Tsh 1500 kwa kiroba.
Wakati wewe unatafuta hela ya kununua bati za Msouth, mtu wa kipato cha chini ananunua haya mabati ya bei nafuu ya mchina au ALAF na kuezeka kwa gharama nafuu.
Wakati wewe unatafuta pesa ya kununulia milango ambapo mlango mmoja hugharimu milioni moja, mwenzako wa kipato cha chini anaagiza milango toka Songea au Moshi ambapo ataipata kwa sh laki mbili.
Wakati wewe unaendelea kusubiri muujiza wa kujenga mansion, mwenzako wa kipato cha chini anakuwa ameshamaliza nyumba yake ya vyumba vitatu na kuja kukupangisha wewe unayeishi kwenye ndoto huku akikucheka.
Jamani graduates mlioko maofisini, amkeni.... Hii life style ya kutanua na kutumia magari inawanyonya sana.
Gari kama linakughariimu Tsh laki tatu hadi nne kwa mwezi, kwa mwaka ni karibu M5. Hapo bado hujalinunua. Ukiuza gari lako leo, ukaibuka Chanika unapata kiwanja cha m3, na milioni mbili nyingine unaanza ujenzi, ndani ya mwaka mmoja hadi miwili unajikuta unakaa kwako ukiwa na uhuru wa kuendelea na bata zingine kama vile kumiliki magari ya kifahari, kula tours nje ya nchi na kuvaa vizuri nk.
Maisha ya kupanga ni maisha ya kutanga tanga... Kuna mahali nyumba za kupanga zinatiwa nyumba za kutanga tanga!
Tatizo kwa namna jamii zetu zilivyo asingeweza kudunduliza. Hela ikipatikana haikosi kaziMkuu nakuelewa sana unachomaanisha,kimtazamo kwny hili suala la makazi nahisi tuko sawa. Shida ya watu wa hali duni huwa wanaona rejareja ni too cheap simply bze they cant afford to pay at once. Mtu anakimbilia kujenga then analala njaa hana hela ya kula,unajiuliza hyu mtu yuko timamu? Angedunduliza hyo hela akainvest then faida ndo aelekeze kwny ujenzi!
Hahahahaha wewe jamaaSasa vipato vinatofautiana ndio maana sio wote tunataka kukaa nje ya mji au kujenga nyumba kama polisi post
Tatizo kwa namna jamii zetu zilivyo asingeweza kudunduliza. Hela ikipatikana haikosi kazi