ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,507
- 5,519
Habari,
Nimefatilia naona wanaotia timu msibani nyumba kwa hayati Lowasa ni viongozi na wanasiasa wakubwa
Lowasa ni kati ya wanasiasa niliokubali falsafa zake, aliifanyia makubwa nchi yetu, mitihani alopitia kutenga na marafiki zake katika siasa ila bado aliamini falsafa zake hakurudi nyuma
2015 nikiwa UKAWa nilimpa kura yangu,
Sasa mimi sio maarufu ila natamani kufika japo kutoa rambi rambi zangu
Sijui protokali hapo ikoje?
Me ni mwananchi wa kipato cha kati
Nimefatilia naona wanaotia timu msibani nyumba kwa hayati Lowasa ni viongozi na wanasiasa wakubwa
Lowasa ni kati ya wanasiasa niliokubali falsafa zake, aliifanyia makubwa nchi yetu, mitihani alopitia kutenga na marafiki zake katika siasa ila bado aliamini falsafa zake hakurudi nyuma
2015 nikiwa UKAWa nilimpa kura yangu,
Sasa mimi sio maarufu ila natamani kufika japo kutoa rambi rambi zangu
Sijui protokali hapo ikoje?
Me ni mwananchi wa kipato cha kati