Watu wa jimbo la Mchinga hii ni kweli?

Watu wa jimbo la Mchinga hii ni kweli?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Nimeona Mbunge wa jimbo la Mchinga, Mama Salma Kikwete akisema kuwa wana Mchinga wamempa kibali cha maisha cha kuwa Mbunge wao.

Maendeleo huko Mchinga yapoje, mpaka wampe kibali kizito hivyo?
IMG_7190.jpeg
 
Hapa ndio nimepata majibu kwa uzuri zaidi.

Tuliyopitia 2010 hadi 2015 hayakuwa ya bahati mbaya.
 
Nimeona Mbunge wa jimbo la Mchinga, Mama Salma Kikwete akisema kuwa wana Mchinga wamempa kibali cha maisha cha kuwa Mbunge wao.

Maendeleo huko Mchinga yapoje, mpaka wampe kibali kizito hivyo?
Huoni hata wenzake wameshituka kwenye hiyo picha?
 
Fanya kama unaweka /j/ mahala pa /ch/ kisha utaelewa hilo ni jimbo la aina gani na hutajiuliza chochote juu ya mtu kupiga shoo mpaka ichoke yenyee.
 
Mkuu nasikia mboso khan katoa video mpya ya wimbo wa PAWA... Ni kweli..?

Wanaimba hvi
Pawa pawa naishiwa pawa
 
Mume,mama,mtoto wanaishi wa kodi zetu .
Baba - marupurupu ya ustaafu na masalia ya Escrow
Mama - fungu la mwenza wa rais
Mtoto - mafao ya ubunge na uwaziri.
Nchi ya kisultani
 
Mume,mama,mtoto wanaishi wa kodi zetu .
Baba - marupurupu ya ustaafu na masalia ya Escrow
Mama - fungu la mwenza wa rais
Mtoto - mafao ya ubunge na uwaziri.
Nchi ya kisultani
Huu ushauri wape wazazi wako kule kikini waamke, hu hakuna alie lala
 
Back
Top Bottom