Tunasubiri picha za mkutano wa CHADEMA Dodoma hadi sasa kimya....vipi makamada hapo Mjengoni....au beat la mkuu wa mkoa limewaingia?????
Bahati mbaya sana!Wakuu niombe radhi kwakutoupload picha za kwenye mkutano wa chadema pale viwanja vya barafu. Hii ni kutokana na aina ya sim ninayotumia, natumia Nokia 2700 classic, ambayo huwezi kuapload picha unless kama kunam2 anajua anielekeze kuapload kwak2mia nokia 2700.
Wakuu niombe radhi kwakutoupload picha za kwenye mkutano wa chadema pale viwanja vya barafu. Hii ni kutokana na aina ya sim ninayotumia, natumia Nokia 2700 classic, ambayo huwezi kuapload picha unless kama kunam2 anajua anielekeze kuapload kwak2mia nokia 2700.