Si hiyo japo hata hyo unayosema ni kama haistahili Kuwa na nyota nneAnhaa! Kumbe ile iliyoko ziwa Tanganyika sio sunset vista uliyoitaja?
Bwana mganga Nimeshindwa kutumia jina lao official ambalo wewe unalijua kwasababu nimelisahauHapana sina mamluki ndugu mgonjwa
Jr
Sawa...nilivyoona miinuko nikajua mlole kule minarani,ukiwa kule unaichungulia stendi mpya na upande Wa PILI kigoma mjini.
Kumbe unakaa kigomaSorry. Nimeona mkusema mengi kuhusu hali ya jana iliyotokea, binafsi mm sikuiona kutokana na eneo nilipo kulikua na Mawingu ya mvua.
Ila kutokana na picha nilizoona hiyo hali kwetu hua inatokea sana (Kigoma) maana kwetu jua huzama kuanzia saa 1 na 15 mpaka saa 1 na 30. Ambapo Dar na sehem zingine huwa ni giza kabisa. Hiyo hali inatokea sana, kuna siku nililala mchana nikaamka jioni nikakuta hali hiyo nikajua ni asubuhi nikakimbilia kuvaa nguo za shule.
Kiufupi hiyo hutokea sana kwetu..Nitaweka picha nilizopiga Dec na Jan nikiwa huko zikionyesha hali kama hiyo
View attachment 1421446View attachment 1421448View attachment 1421449View attachment 1421450
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua mdogo wangu ni kuwa kuna namna 'udaslam' unaambukizwa kwa njia ya hewa walaqhi'..!
Acha dharau...utakuta hapo dar ni wakuja,usijaribu kudharau,watu Wa kigoma wameijenga hiyo dar yenu...Leo hii mnajifanya wazawa kuliko wazaramo.Hapa ni kigoma mjini? Aiseee ndo maana waha wamejazana huku mjini wanatupandishia bei ya sukari.
Adaption ya mazingira tu,ndo maana anayetoka iringa akija Dar anateseka na joto,au anayetoka Moscow Russia akifika njombe kwenye hicho kinachoitwa baridi anatembea kifua waziUkiwa huku kuna namna unalainika automatically walaqhi', eti na mimi wa kaskazini naona haka kabaridi leo kako serious, sijui ndiyo nishaambukizwa 'udaslam' maskiini..
Hii ni Tanzania hii hii?!,ndo maana mkija mjini hamrudi kwenuHiyo ni kama manzese au buguruni ya kigoma.. ila mjini kabisa centre ni kule mbele ziwani.
Ndio kuna ofisi zote na maghorofa View attachment 1421461
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo yale mahindi tunaambiwa wanakula na limao, pilipili na chumvi. Alafu yauzwa vipande vidogodogo, Dar lazima nifike mwaka huu.Mkuu huwajui watu wa dar? Wataalamu wa kula muhindi wa kuchoma na chachandu
Sent using Jamii Forums mobile app
Trafki Wa kigoma wanavaa nguo za bluu?Aisee kweli kigoma si pakuvaa nguo nyeupe
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Trafki Wa kigoma wanavaa nguo za bluu?Aisee kweli kigoma si pakuvaa nguo nyeupe
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Hapa ni kigoma mjini? Aiseee ndo maana waha wamejazana huku mjini wanatupandishia bei ya sukari.
Acha ushamba hapo sio Tanzania ni kigoma hiyo,
Bwana mganga Nimeshindwa kutumia jina lao official ambalo wewe unalijua kwasababu nimelisahau
Nazungumzia hao mabeki tatu wanaokupa majibu baada ya kupiga ramli
Ndo hayo hayo yanakatwa vipande maana ukiwa mzima wanashindwa kuumaliza hahahaaaaNdo yale mahindi tunaambiwa wanakula na limao, pilipili na chumvi. Alafu yauzwa vipande vidogodogo, Dar lazima nifike mwaka huu.
Hahahaha wanashindwa kumaliza au yakikatwa vipande ndo bei inakuwa himilivu kwao. Huku sasa tunavuna mnaweza chemsha hata mahindi 30 alafu mnakuta mko watu sita tu na sufuria la mahindi linakwisha mapema sana.Ndo hayo hayo yanakatwa vipande maana ukiwa mzima wanashindwa kuumaliza hahahaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app