Watu wa Dar bwana, you worry about everything!

Hapana sina mamluki ndugu mgonjwa

Jr
Bwana mganga Nimeshindwa kutumia jina lao official ambalo wewe unalijua kwasababu nimelisahau

Nazungumzia hao mabeki tatu wanaokupa majibu baada ya kupiga ramli
 
Sorry. Nimeona mkusema mengi kuhusu hali ya jana iliyotokea, binafsi mm sikuiona kutokana na eneo nilipo kulikua na Mawingu ya mvua.

Ila kutokana na picha nilizoona hiyo hali kwetu hua inatokea sana (Kigoma) maana kwetu jua huzama kuanzia saa 1 na 15 mpaka saa 1 na 30. Ambapo Dar na sehem zingine huwa ni giza kabisa. Hiyo hali inatokea sana, kuna siku nililala mchana nikaamka jioni nikakuta hali hiyo nikajua ni asubuhi nikakimbilia kuvaa nguo za shule.

Kiufupi hiyo hutokea sana kwetu..Nitaweka picha nilizopiga Dec na Jan nikiwa huko zikionyesha hali kama hiyo

View attachment 1421446View attachment 1421448View attachment 1421449View attachment 1421450

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unakaa kigoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ni kigoma mjini? Aiseee ndo maana waha wamejazana huku mjini wanatupandishia bei ya sukari.
Acha dharau...utakuta hapo dar ni wakuja,usijaribu kudharau,watu Wa kigoma wameijenga hiyo dar yenu...Leo hii mnajifanya wazawa kuliko wazaramo.
 
Ukiwa huku kuna namna unalainika automatically walaqhi', eti na mimi wa kaskazini naona haka kabaridi leo kako serious, sijui ndiyo nishaambukizwa 'udaslam' maskiini..
Adaption ya mazingira tu,ndo maana anayetoka iringa akija Dar anateseka na joto,au anayetoka Moscow Russia akifika njombe kwenye hicho kinachoitwa baridi anatembea kifua wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kweli kigoma si pakuvaa nguo nyeupe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Trafki Wa kigoma wanavaa nguo za bluu?
Fika kwanza halafu ndio useme,usipende kuamini maneno ya kusikia au kuambiwa.
 
Aisee kweli kigoma si pakuvaa nguo nyeupe

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Trafki Wa kigoma wanavaa nguo za bluu?
Fika kwanza halafu ndio useme,usipende kuamini maneno ya kusikia au kuambiwa.
 
Ndo hayo hayo yanakatwa vipande maana ukiwa mzima wanashindwa kuumaliza hahahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha wanashindwa kumaliza au yakikatwa vipande ndo bei inakuwa himilivu kwao. Huku sasa tunavuna mnaweza chemsha hata mahindi 30 alafu mnakuta mko watu sita tu na sufuria la mahindi linakwisha mapema sana.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom