Watu wa Chalinze kwa machungwa mliyoniuzia Mungu anawaona

HAMNA! MNAHARIBU TASWIRA YA CHJALINZE KWA AJILI YA WIVU TU. MANANASI YA CHALINZE YAPO VIZURI. WALA HAWANA SABABU YA KUIVISHWA NA MOTO. CHALINZE HADI UNAFIKA RUVU CHINI MANANASIO YANALIMWA KWA WINGI SANA NA MENGI KULIKO UNAVYOFIKIRIA. HIVYO HAWANA SABABU YA KUIVISHA NA MOTO. KILA WIKIENDI MIMI NANUNUA NA YAPO VIZURI. HUKU DAR TUNAYALA KILA LEO YAPO SAWA KABISA.
Wanaweka mti katikati na haafai kabisa kwa matumizi ya binadamu
 
Wanajamvi, nilichofanyiwa na mtu mmoja wa Chalinze ambaye ni mwizi ndio hiki hapa kwenye picha. Kwa kweli sintonunua chochote Chalinze tena. Huu ni ujambazi na kama watu wa Chalinze mko humu mkanyane ili misfire kupoteza soko la mazao yenu kwa sababu ya huyu jambazi.

View attachment 687389
Kuna abiria alinionya nisinunue machungwa ya chalinze ni machachu sana kwa kulazimishwa yaive kwa moto, bora nikanunue ya korogwe ni matamu
 
Wanajamvi, nilichofanyiwa na mtu mmoja wa Chalinze ambaye ni mwizi ndio hiki hapa kwenye picha. Kwa kweli sintonunua chochote Chalinze tena. Huu ni ujambazi na kama watu wa Chalinze mko humu mkanyane ili misfire kupoteza soko la mazao yenu kwa sababu ya huyu jambazi.

View attachment 687389
Pole kiongozi. Chalinze na Segera usinunue matunda ya kwenye kifuko. Nunua yale wanayomwaga chini (shuka uchague mwenyewe), kama una muda wa kushuka kutoka kwenye usafiri. La sivyo utakutana na hayo uliyoturushia.
 
Pole mkuu matapeli mengine yamechanganya mawe na korosho zikapelekwa nje huko usinunue vitu hovyo njia ni.hawaaminiki wauzaji
 
Mi wakati nipo form two natoka mwanza kwenda dar kwa tren nliwahi kuuziwa mayai viza 2 tabora. Nilimlaani huyo jamaa, maana nlikuwa na hela limited balaa.
 
Hiyo kauri mungu anakuona maranyingi nimeona inatamkwa Na wanawake natabiri jinsia yako we utakua ni ke
 
Wanajamvi, nilichofanyiwa na mtu mmoja wa Chalinze ambaye ni mwizi ndio hiki hapa kwenye picha. Kwa kweli sintonunua chochote Chalinze tena. Huu ni ujambazi na kama watu wa Chalinze mko humu mkanyane ili misfire kupoteza soko la mazao yenu kwa sababu ya huyu jambazi.

View attachment 687389
Mfahamishe na Baba Rizimoko atafikisha hizo salaamu kwa urahisi sana.
 
Back
Top Bottom