Watu Tuamke, Tudai Nchi yetu.

stormryder

JF-Expert Member
Mar 23, 2013
2,194
2,512
mjumbe na baraza lake lipo Kwa ajili ya WATU, kwa nini mjumbe asiwasikilize WATU?.Barabara zinazojengwa ni Kwa ajili ya WATU, Madawa ya kulevya mnayopigana nayo ni kwa Ajili ya WATU. Hakuna Jambo lenye manufaa ya muda mrefu kwa WATU wa taifa hili litakalofikiwa kama tutaendelea kuwa na viongozi wa namna hii kadri zimwi hili linavoachwa, vizazi vijavyo havitaweza kulizuia.

Leo kituo cha Habari kimetishwa kwa mitutu ya Bunduki, kesho WATU wanaotafautiana kimazo na bwana huyu watauwawa kwa mitutu ya Bunduki. Na Keshokutwa tutagundua Makaburi ya Umma ya WATU.

mjumbe nguvu zake ni Majeshi anayoweza kuyaamuru, na ndio hofu ya WATU na Hao WATU WAJESHI, hatuna tofauti ya kimwili ama kiroho. WATU WA JESHI Baba zenu ni WATU, wakumbukeni kipindi hiki cha shida zilizoletwa na Ukame, na maamuzi ya mjumbe mnayemwamini. Mpeni ushauri labda atawasikia, akigoma Waacheni Baba zenu na wadogo zenu wafanye maamuzi sahihi juu ya mjumbe, ikiwa ngumu tembeleni.

Rejea Korea Kusini, na Misri.
Mwenye Waraka wa Ukuta apost
 
mjumbe na baraza lake lipo Kwa ajili ya WATU, kwa nini mjumbe asiwasikilize WATU?.Barabara zinazojengwa ni Kwa ajili ya WATU, Madawa ya kulevya mnayopigana nayo ni kwa Ajili ya WATU. Hakuna Jambo lenye manufaa ya muda mrefu kwa WATU wa taifa hili litakalofikiwa kama tutaendelea kuwa na viongozi wa namna hii kadri zimwi hili linavoachwa, vizazi vijavyo havitaweza kulizuia.

Leo kituo cha Habari kimetishwa kwa mitutu ya Bunduki, kesho WATU wanaotafautiana kimazo na bwana huyu watauwawa kwa mitutu ya Bunduki. Na Keshokutwa tutagundua Makaburi ya Umma ya WATU.

mjumbe nguvu zake ni Majeshi anayoweza kuyaamuru, na ndio hofu ya WATU na Hao WATU WAJESHI, hatuna tofauti ya kimwili ama kiroho. WATU WA JESHI Baba zenu ni WATU, wakumbukeni kipindi hiki cha shida zilizoletwa na Ukame, na maamuzi ya mjumbe mnayemwamini. Mpeni ushauri labda atawasikia, akigoma Waacheni Baba zenu na wadogo zenu wafanye maamuzi sahihi juu ya mjumbe, ikiwa ngumu tembeleni.

Rejea Korea Kusini, na Misri.
Mwenye Waraka wa Ukuta apost
Umechoka kuishi uraiani si bure. Ukinaswa tu utafunguliwa mashitaka ya uchochezi sedition. Unachochea vita?
 
images-1378.jpeg
 
mjumbe na baraza lake lipo Kwa ajili ya WATU, kwa nini mjumbe asiwasikilize WATU?.Barabara zinazojengwa ni Kwa ajili ya WATU, Madawa ya kulevya mnayopigana nayo ni kwa Ajili ya WATU. Hakuna Jambo lenye manufaa ya muda mrefu kwa WATU wa taifa hili litakalofikiwa kama tutaendelea kuwa na viongozi wa namna hii kadri zimwi hili linavoachwa, vizazi vijavyo havitaweza kulizuia.

Leo kituo cha Habari kimetishwa kwa mitutu ya Bunduki, kesho WATU wanaotafautiana kimazo na bwana huyu watauwawa kwa mitutu ya Bunduki. Na Keshokutwa tutagundua Makaburi ya Umma ya WATU.

mjumbe nguvu zake ni Majeshi anayoweza kuyaamuru, na ndio hofu ya WATU na Hao WATU WAJESHI, hatuna tofauti ya kimwili ama kiroho. WATU WA JESHI Baba zenu ni WATU, wakumbukeni kipindi hiki cha shida zilizoletwa na Ukame, na maamuzi ya mjumbe mnayemwamini. Mpeni ushauri labda atawasikia, akigoma Waacheni Baba zenu na wadogo zenu wafanye maamuzi sahihi juu ya mjumbe, ikiwa ngumu tembeleni.

Rejea Korea Kusini, na Misri.
Mwenye Waraka wa Ukuta apost
ANZISHEN TENA UKUTA UWASHINDE MPATE AIBU TENA. MATAPELI WA SIASA
 
Umechoka kuishi uraiani si bure. Ukinaswa tu utafunguliwa mashitaka ya uchochezi sedition. Unachochea vita?
Hao waliofungwa na kuwekwa vizuizini sababu ya kudai haki kwenye nchi zao mbona tunawaita mashujaa? Leo huyu aweza kuwa mchochezi lakini baada ya miaka 10 huyu atakuwa shujaa. Ben hatujui alipo lakini ipo siku vitabu vitamuandika pamoja na Mhe. Lema, Tundu Lisu, Dr. Mvungi, Mwangosi, Amina Chifupa, Kolimba, hata akina Kubenea, Kibanda, Generali Ulimwengu na Ulimboka. Tutawapata wasaliti kama Slaa, na mwenzie wa Cuf hata jina huwa linanitoka. Time will tell.
 
Kama kuna kitu cha kuogopwa nchini basi mwanasiasa ni kitu cha kwanza.
Ni watu hatari sana hawa. Moto mkubwa huanza na cheche, huu ujinga tunao Ufanya humu JF utaponza watanzania wengi.

Kwa muda huu mfupi nimeuna mada karibu tano zikiwa na ujumbe wa kutaka kuondoa utawala. Hebu tuacheni huu upuuzi.

Hawa wanao washawishi mambo yakianza hutawaona hapa nchini.
Tusishikiwe akili na wanasiasa, acheni huo ujinga mnao usambaza humu madhara yake ni makubwa.

Kwa mwenye akili ataelewa.
 
Huu uzi, nitarudi baada 1/2hr,sijui kama nitaukuta,labda utakuwa umeangukiwa na ukuta
 
Kama kuna kitu cha kuogopwa nchini basi mwanasiasa ni kitu cha kwanza.
Ni watu hatari sana hawa. Moto mkubwa huanza na cheche, huu ujinga tunao Ufanya humu JF utaponza watanzania wengi.

Kwa muda huu mfupi nimeuna mada karibu tano zikiwa na ujumbe wa kutaka kuondoa utawala. Hebu tuacheni huu upuuzi.

Hawa wanao washawishi mambo yakianza hutawaona hapa nchini.
Tusishikiwe akili na wanasiasa, acheni huo ujinga mnao usambaza humu madhara yake ni makubwa.

Kwa mwenye akili ataelewa.
Hiki ulicho andika ni kwa wajinga pekee maana wenye akili hawana haja na ushauri wa kipuuzi na wakijinga kama huu.
 
"NOW this is the law of the jungle, as old and as true as the sky,
And the wolf that shall keep it may prosper, but the wolf that shall break it must die.

As the creeper that girdles the tree trunk, the law runneth forward and back;
For the strength of the pack is the wolf, and the strength of the wolf is the pack.

Wash daily from nose tip to tail tip; drink deeply, but never too deep;
And remember the night is for hunting and forget not the day is for sleep.

The jackal may follow the tiger, but, cub, when thy whiskers are grown,
Remember the wolf is a hunter—go forth and get food of thy own.

Keep peace with the lords of the jungle, the tiger, the panther, the bear;
And trouble not Hath the Silent, and mock not the boar in his lair.

When pack meets with pack in the jungle, and neither will go from the trail,
Lie down till the leaders have spoken; it may be fair words shall prevail.

When ye fight with a wolf of the pack ye must fight him alone and afar,
Lest others take part in the quarrel and the pack is diminished by war.

Please share this to all youths of this country who worry about the Future we are heading.
Unaiba nukuu za wengine na kujifanya ni zako sio? Weka chanzo.
 
Nyie watu wa Dar tumewachoka maneno mengi yamezidi sasa fanyeni vitendo. Freeman Mbowe alipoiuza Chadema kwa Lowasa ndio shinda ilipoanzia. Leo hii angekuwepo babu yetu wa mihogo Mzee Slaa saizi tungekuwa tunajipanga Jumatano kuandamana nchi nzima kupinga udhalimu huu. Now tuchape kazi hakuna mwanaume huko Dar wa kupinga kauli ya raisi
 
Kama kuna kitu cha kuogopwa nchini basi mwanasiasa ni kitu cha kwanza.
Ni watu hatari sana hawa. Moto mkubwa huanza na cheche, huu ujinga tunao Ufanya humu JF utaponza watanzania wengi.

Kwa muda huu mfupi nimeuna mada karibu tano zikiwa na ujumbe wa kutaka kuondoa utawala. Hebu tuacheni huu upuuzi.

Hawa wanao washawishi mambo yakianza hutawaona hapa nchini.
Tusishikiwe akili na wanasiasa, acheni huo ujinga mnao usambaza humu madhara yake ni makubwa.

Kwa mwenye akili ataelewa.
Unajua mkuu ata ukoloni ulikua halali lakini ulipofika muda waafrika wanasema hapana inatosha
 
Back
Top Bottom