Watu Sio Wema Kabisa Baskeli Mbili Zimeibiwa Za SSH

Watu Sio Wema Kabisa Baskeli Mbili Zimeibiwa Za SSH

exalioth

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
2,376
Reaction score
4,093
Ni Katika Kata Ya Ilolangulu Wilaya Ya mbogwe ambampo basikeli zilikua zmepakiwa nnje ya baa mida ya saa mbili usiku ambapo hata basikeli nyingine tatu zilikuepo nnje

Wamiliki wa baskeli hizo wakiwa wanatumia vinywaji baada ya kutoka basikeli mbili zote hawakuzikuta

Watu sio wema
 
Nje ya mada
Mfano nimempa mimba mdada bahati mbaya nika muomba msamaha akakubali bado nitakuwa muhusika katika mimba ile?

Msinifokee mimi last born wenu
 
Ni Katika Kata Ya Ilolangulu Wilaya Ya mbogwe ambampa basikeli zilikua zmepakiwa nnje ya baa mida ya saa mbili usiku ambapo hata basikeli nyingine tatu zilikuepo nnje

Wamiliki wa baskeli hizo wakiwa wanatumia vinywaji baada ya kutoka basikeli mbili zote hawakuzikuta

Watu sio wema
Mama Samia ni Nuru, Nina uhakika hata wewe unatamani kushikiria chochote chenye jina au picha ya Samia
 
Mama Samia ni Nuru, Nina uhakika hata wewe unatamani kushikiria chochote chenye jina au picha ya Samia


Huyo ni laana. Kuwa na alama yake yoyote ni kama kutembea na alama ya shetani. Ukijishikamanisha na shetani, Mungu hujitenga nawe.
 
Huyo ni laana. Kuwa na alama yake yoyote ni kama kutembea na alama ya shetani. Ukijishikamanisha na shetani, Mungu hujitenga nawe.
Pole sana nyumbu, najua una hasira kweli kweli lkn ndo hivyo Mungu ameamua against nyie. Vumilieni tu, labda 2040 lissu ataukwaa urais
 
Ni Katika Kata Ya Ilolangulu Wilaya Ya mbogwe ambampa basikeli zilikua zmepakiwa nnje ya baa mida ya saa mbili usiku ambapo hata basikeli nyingine tatu zilikuepo nnje

Wamiliki wa baskeli hizo wakiwa wanatumia vinywaji baada ya kutoka basikeli mbili zote hawakuzikuta

Watu sio wema
Wamechukua chao mapema
 
Mama Samia ni Nuru, Nina uhakika hata wewe unatamani kushikiria chochote chenye jina au picha ya Samia
Dr . Mwakyembe alishawahi kuandika riwaya inaitwa " Pepo ya mabwege"
Dr. Mohamed seif khatibu alishawahi kuandika masair kwenye kitabu kinaitwa " FUNGATE YA UHURU" Mle kulikuwa na shairi likiitwa " Nikizipata bunduki" BWM akamteua kuwa wazir wa mambo ya ndani akaishia kuua WATU 2001 Huko zanzibar
 
Ni Katika Kata Ya Ilolangulu Wilaya Ya mbogwe ambampa basikeli zilikua zmepakiwa nnje ya baa mida ya saa mbili usiku ambapo hata basikeli nyingine tatu zilikuepo nnje

Wamiliki wa baskeli hizo wakiwa wanatumia vinywaji baada ya kutoka basikeli mbili zote hawakuzikuta

Watu sio wema
hizo baiskeli ni mali za umma wewe ukiikuta popote bebaa maana zimenunuliwq na fedha zetu
 
Back
Top Bottom