Watu Sio Wema Kabisa Baskeli Mbili Zimeibiwa Za SSH

Watu Sio Wema Kabisa Baskeli Mbili Zimeibiwa Za SSH

Ni Katika Kata Ya Ilolangulu Wilaya Ya mbogwe ambampa basikeli zilikua zmepakiwa nnje ya baa mida ya saa mbili usiku ambapo hata basikeli nyingine tatu zilikuepo nnje

Wamiliki wa baskeli hizo wakiwa wanatumia vinywaji baada ya kutoka basikeli mbili zote hawakuzikuta

Watu sio wema
Sasa wanauchungu gani na kitu cha kupewa bure?
 
Ni Katika Kata Ya Ilolangulu Wilaya Ya mbogwe ambampo basikeli zilikua zmepakiwa nnje ya baa mida ya saa mbili usiku ambapo hata basikeli nyingine tatu zilikuepo nnje

Wamiliki wa baskeli hizo wakiwa wanatumia vinywaji baada ya kutoka basikeli mbili zote hawakuzikuta

Watu sio wema
Wangewaiba na hao walevi.Akina kaka majambazi wameharibu show!😝😝😝😝😝
 
Nje ya mada
Mfano nimempa mimba mdada bahati mbaya nika muomba msamaha akakubali bado nitakuwa muhusika katika mimba ile?

Msinifokee mimi last born wenu
Kwani mimba ndio itakua imetoka kwa kumuomba msamaha?
 
Mimi nimekutana nayo moja huku Misungwi inatumikishwa kivingine kabisa. Baisikeli imeandikwa SSH lakini eti wanaifanyia hivi. Wasukuma bana sijui tu wakoje! 😂

IMG-20250705-WA0086.jpg
 
Back
Top Bottom