Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Habari ya leo wana jf,mbona wa2 walio kwenye mahusiano huwa hawapendi kusema kweli wakiulizwa?mfano ukikutana na mdada mkawa mnapiga story ukimuuliza vp shem hajambo anakuambia sina pia hata mwanaume akikutana na mdada wakiwa wanabadilishana mawazo akiambiwa msalimie wifi anasema sina.Kwa nini wanaume kwa wanawake huwa hawapendi kusema kweli kama ana m2 au hana?