Watu kama hawa sijui wamerogwa na nani au ni ubongo haufanyi kazi?

2505093_EcVI5W7WkAAlIpO.jpg


Nina jirani yangu hapa by Age ni 70+
Hiyo nyuma ukiiona yani akiwa ndani kalala unamsalimia na yeye anakuona vizuri hata mikono mnashake!!!
Hana pension
Kula ni kugongea
Mke alimkimbia
Akiumwa hata panado hana
Ila ukimkuta anavyo kisifu chama hutaamini yan ana kofia,mwamvuli,peni,T-shirt,mwamvuli ,underwear( sijui) vya chama yani akikusogelea mdomo unanuka njaaa!!!!sasa huwa najiuliza ni mm ndo sijielewi au yeye ?? Yan he is poverty stricken person !!! Lakin weeeee
 
Kuna dada mmoja namjua alisoma kwa shida hadi akamaliza degree yake ya ualimu akiwa na ndoto nyingi za maisha, yeye alijua kuwa akimaliza tu Chuo anaajiriwa moja kwa moja kama ilivyokuwa tangu nchi ipate uhuru kuwa Mwalimu anavyomaliza Chuo alikuwa anaajiriwa moja kwa moja, yeye alimaliza 2015, akusubiria mwezi wa nne 2016 Kama iliyozoeleka hapo Nyuma Kuwa walikuwa wanaajiriwa mwez wa nne, ndipo akakutana na mabadiliko Ya magufuli Ya kutoajiri had Leo, muda wote huo alikuwa mitaani akifanya Kazi Ya Kujiuza ili kuweza kumudu maisha.

Leo namshangaa anasema atamchagua Magufuli, nimejiuliza Sana mno na nimemsikitikia nakujiuluza kuwa hivi hawa wasomi wetu walisoma wakamaliza Elimu Ya Chuo kikuuu kweli?

Kitu cha kwanza Kwa mwananchi anachopaswa kuangalia katika kuchagua kiongoz ni je huyu ninaenda kumpigia kura atasaidiaje Mimi kupata unafuuu wa maisha? Na unafuu wa kwanza kuliko vyote uko kwenye ajira, sasa wewe mtu akaja kuondoa fursa yako ya ajira tena kipindi mwafaka kwako nakusababisha uwe omba omba miaka mitano, bado unasema eti utamchagua? Una akiri kweli wewe? Hata Kama ndugu zako wote ni Ccm unapaswa kujionea huruma
Huoni km wewe ndio kichaa? Kwani chuo mnasomea ajira? Aysee... Kumbe ni kweli kuwa kichaa huwa anamuona mzima ndio kichaa.
 
Kuna dada mmoja namjua alisoma kwa shida hadi akamaliza degree yake ya ualimu akiwa na ndoto nyingi za maisha, yeye alijua kuwa akimaliza tu Chuo anaajiriwa moja kwa moja kama ilivyokuwa tangu nchi ipate uhuru kuwa Mwalimu anavyomaliza Chuo alikuwa anaajiriwa moja kwa moja, yeye alimaliza 2015, akusubiria mwezi wa nne 2016 Kama iliyozoeleka hapo Nyuma Kuwa walikuwa wanaajiriwa mwez wa nne, ndipo akakutana na mabadiliko Ya magufuli Ya kutoajiri had Leo, muda wote huo alikuwa mitaani akifanya Kazi Ya Kujiuza ili kuweza kumudu maisha.

Leo namshangaa anasema atamchagua Magufuli, nimejiuliza Sana mno na nimemsikitikia nakujiuluza kuwa hivi hawa wasomi wetu walisoma wakamaliza Elimu Ya Chuo kikuuu kweli?

Kitu cha kwanza Kwa mwananchi anachopaswa kuangalia katika kuchagua kiongoz ni je huyu ninaenda kumpigia kura atasaidiaje Mimi kupata unafuuu wa maisha? Na unafuu wa kwanza kuliko vyote uko kwenye ajira, sasa wewe mtu akaja kuondoa fursa yako ya ajira tena kipindi mwafaka kwako nakusababisha uwe omba omba miaka mitano, bado unasema eti utamchagua? Una akiri kweli wewe? Hata Kama ndugu zako wote ni Ccm unapaswa kujionea huruma
hiyo inaitwa dawa ya moto ni moto

ila kwa awamu hii hata angewapa wapinzani ni kazi bure hawatoweza kulingana na mazingira ya chama tawala
 
Kuna watu wamejiseti akili zao kwa kuamini kuwa umasikini unaletwa na upinzani miaka yote SMH.
 
Tatizo sio yeye bali hakuna chama wala kiongozi m'badala anaefaa nje ya ccm.
 
Tumia akili hata kidogo wewe nyumbu

Hivi unadhani graduates waliokuwa wanahitimu before 2015 ni idadi sawa na idadi ya graduates wanaoihitimu miaka hii?
Wewe kima hata upige chenga vipi !!! Jpm ameshindwa kuajiri hata kwa idadi ndogo kwani tofauti ya waliomaliza 2015 na baada ya 2015 ni ipi??? Na ameajiri wangapi??? Tatizo mataga huwa mtaongea msivyo vijua !! Kwahiyo unataka kusema waliomaliza baada ya 2015 ni wengi ndio maana kwashindwa kuwaajiri!??
Mtamtetea sana ila jamaa kachemka mbaya kabisa
1) kashindwa kuajiri kwa miaka mitano
2) kashindwa kuongeza mishahara kwa miaka mitano( haijawahi tokea tangu uhuru)
3) wastaafu wanadhalilika vibaya mno
4ukabila umeota mizizi
5)udugu
6) kuvunja sheri za utumishi wa umma nk
 
Wewe kima hata upige chenga vipi !!! Jpm ameshindwa kuajiri hata kwa idadi ndogo kwani tofauti ya waliomaliza 2015 na baada ya 2015 ni ipi??? Na ameajiri wangapi??? Tatizo mataga huwa mtaongea msivyo vijua !! Kwahiyo unataka kusema waliomaliza baada ya 2015 ni wengi ndio maana kwashindwa kuwaajiri!??
Mtamtetea sana ila jamaa kachemka mbaya kabisa
1) kashindwa kuajiri kwa miaka mitano
2) kashindwa kuongeza mishahara kwa miaka mitano( haijawahi tokea tangu uhuru)
3) wastaafu wanadhalilika vibaya mno
4ukabila umeota mizizi
5)udugu
6) kuvunja sheri za utumishi wa umma nk
We tako la mbwa nani unamuita kima?

Unadhani ni kiongozi gani akiwa madarakani ataajiri graduates wote?

Endelea kukaa kijiweni ukisubiri upinzani ushike madaraka ndo upate ajira
 
Cha ajabu nini hapo? Wabongo inajulikana kwamba kuna watu wao wanaichukia ccm yani huwaambii chochote wakakuelewa,na kuna ambao wao wana mahaba na ccm yani huwaambii kitu.

Ni suala la chuki na mahaba,yani unakuta mtu yeye haoni jambo baya kwa ccm kila jambo zuri na mwengine yeye haoni zuri kwa ccm kila jambo baya kwa ccm na huona upinzani ndio wako sahihi wakati wote na ni kwa sababu wako kinyume na ccm.
 
Tatizo ni lishe ndugu ndio maana hawana uwezo wa kuhusianisha sera za vyama na athari zake kwenye maisha yao,hapa ndipo sera ya Rungwe inapoleta mantiki maana hawa walikariri ila hawajitambui wala kujielewa.
 
Acha kujaa upepo Dada utabreed siku sio zako,.

Chadema wangekuwa wamejipanga wanasilahaa nyingi sana za kushinda saa tatu asubuhi Lakn navyoona hawajajipanga.

Kuna mambo kama waliotimuliwa vyeti feki, mishahara kwa watumishi wa umma, ajira kwa vijana, wafanyabiashara hizo zote wangetumia kwenye kampeni wangeweza kuwashawishi.. Sasa jamaa kila apitapo anaelezea tu kupigwa risasi na kuponda ndege alizonunua mwenzake..

Kutokujipanga kwao ndio kutawafanya walambe udogo mapema
Hata mazaaaku hublid issue sio cdm issue ni jiwe kashindwa kuajiri kama wenzie miaka mitano bila kuajiri na kuongeza mishahara ni aibu hata rais analijua hilo
 
Unadhani sasa hivi vyuo vinatoa waalimu wangapi kwa mwaka mmoja?

Endelea kukaa kijiweni na kulia lia serikali hivi mara vile

Hamna siku serikali itakuletea ugali na hela ya mboga nyumbani kwako


Hata chama gani kikishika dola hilo halijitokea

Ishi kisomi wewe badilika nenda na wakati tumia akili yako kupata maendeleo la sivyo utalia lia milele

Na chadema akishinda ukose ajira utakuja tena kulia hapa na kuipigia chapuo ACT nako ukifeli utahama tena hivi hivi
Kamuulize ma ako akupe data wamemaliza wangapi
 
Assuming wewe maisha yako yalikuendea sawa, ulimsaidiaje aondoke kwenye kujiuza?
 
Cha ajabu nini hapo? Wabongo inajulikana kwamba kuna watu wao wanaichukia ccm yani huwaambii chochote wakakuelewa,na kuna ambao wao wana mahaba na ccm yani huwaambii kitu.

Ni suala la chuki na mahaba,yani unakuta mtu yeye haoni jambo baya kwa ccm kila jambo zuri na mwengine yeye haoni zuri kwa ccm kila jambo baya kwa ccm na huona upinzani ndio wako sahihi wakati wote na ni kwa sababu wako kinyume na ccm.
Ni ujinga kuvichukulia vyama vya siasa kama ushabiki wa timu za mipira,na hiki ndicho kinafanywa na watanzania walio wengi hasa wanawake,hawajui kwamba siasa ni maisha yao,watoto wao nk nk
 
Mimi nasisitiza kuwa Lisu aendelee kuongelea kupigwa risasi kwake kila aendako ili Watanzania wote wajue kuwa nchi hii ina viongozi wauaji na wenye roho mbaya mpaka Shetani huko aliko anawaonea wivu!!!
Basi mtaishia kuwa na raisi wa mitandaoni
 
Hata mazaaaku hublid issue sio cdm issue ni jiwe kashindwa kuajiri kama wenzie miaka mitano bila kuajiri na kuongeza mishahara ni aibu hata rais analijua hilo
Tulia dadaangu ukiona mambo magumu anza kujiuza Tupo wa kukugegeda
 
Kwahiyo huyo unayefikiri atakupa ajira bila kutengeneza uchumi utakao iwezesha nchi kujiendesha ni nani? Au mmelogwa nyie ebu waangalieni vizuri hao mnao wakusudia kufanya miujiza.

Kama kungekuwa na nchi ya kuifanyia majaribio tungewapa ili muonje ingawa sumu huwa haionjwi kamwe.
Mkapa na JK waliwezaje angalau kuleta unafuu licha ya rushwa na mfumo mbovu wa serikali?
Nyie majaribio mlifanyia wapi? Kupiga chini ununuzi wa mindege isiyo na tija na kununua ma V8 kila mwaka kunahitaji miujiza gani? Katiba ya warioba ilihitaji miujiza gani? huoni mambo hayo yakifanywa yataleta ufanisi kwenye utendaji na nafuu ya kimaisha? acheni upuuzi nyie bora tuwachague hao maana hata miujiza ya kujenga airport ya international chato imewezekana licha ya kwamba hakuna ndege huko zaidi ya popo na bundi kutua
 
Back
Top Bottom