Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Kuna dada mmoja namjua alisoma kwa shida hadi akamaliza degree yake ya ualimu akiwa na ndoto nyingi za maisha, yeye alijua kuwa akimaliza tu Chuo anaajiriwa moja kwa moja kama ilivyokuwa tangu nchi ipate uhuru kuwa Mwalimu anavyomaliza Chuo alikuwa anaajiriwa moja kwa moja, yeye alimaliza 2015, akusubiria mwezi wa nne 2016 Kama iliyozoeleka hapo Nyuma Kuwa walikuwa wanaajiriwa mwez wa nne, ndipo akakutana na mabadiliko Ya magufuli Ya kutoajiri had Leo, muda wote huo alikuwa mitaani akifanya Kazi Ya Kujiuza ili kuweza kumudu maisha.
Leo namshangaa anasema atamchagua Magufuli, nimejiuliza Sana mno na nimemsikitikia nakujiuluza kuwa hivi hawa wasomi wetu walisoma wakamaliza Elimu Ya Chuo kikuuu kweli?
Kitu cha kwanza Kwa mwananchi anachopaswa kuangalia katika kuchagua kiongoz ni je huyu ninaenda kumpigia kura atasaidiaje Mimi kupata unafuuu wa maisha? Na unafuu wa kwanza kuliko vyote uko kwenye ajira, sasa wewe mtu akaja kuondoa fursa yako ya ajira tena kipindi mwafaka kwako nakusababisha uwe omba omba miaka mitano, bado unasema eti utamchagua? Una akiri kweli wewe? Hata Kama ndugu zako wote ni Ccm unapaswa kujionea huruma
Leo namshangaa anasema atamchagua Magufuli, nimejiuliza Sana mno na nimemsikitikia nakujiuluza kuwa hivi hawa wasomi wetu walisoma wakamaliza Elimu Ya Chuo kikuuu kweli?
Kitu cha kwanza Kwa mwananchi anachopaswa kuangalia katika kuchagua kiongoz ni je huyu ninaenda kumpigia kura atasaidiaje Mimi kupata unafuuu wa maisha? Na unafuu wa kwanza kuliko vyote uko kwenye ajira, sasa wewe mtu akaja kuondoa fursa yako ya ajira tena kipindi mwafaka kwako nakusababisha uwe omba omba miaka mitano, bado unasema eti utamchagua? Una akiri kweli wewe? Hata Kama ndugu zako wote ni Ccm unapaswa kujionea huruma