Watu huona nini wanapokaribia kufa?

Baharin ziwani kote kwenye mass ya maji huweza kuwa get ya kwenda.
Kutumia mayai visa etc.

Wish to hear more about hizo trip zako
Kwa yai viza hapana hilo haliwezi kukupeleka popote kwakuwa tayari halina uhai hili linatumika zaidi kwenye uchawi wa kufisha na kuharibu
 
Jr mshana
 
Matola you either don't understand English or uandishia wako umejawa na mhehemko. Nkuba25 did not say/write Gods rather he/she wrote God's - here the exclamation mark and S represent "Possession case" and not plural form of God.
Is this mark ' is an exclamation
mark, then what this mark ! is?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok my question is " marehemu mtarajiwa huhisi Nini au husikia Nini wiki moja,mwezi Mmoja au hata mwaka Mmoja kabla ya kifo chake?' I need to prepare myself for this episode

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo hakina maandalizi hayo ya kimwili... Ni jambo la kiroho zaidi na hutokea muda mchache kabla

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…