ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Wasalaam,
Leo baada ya wiki tatu kupita. Nimempigia simu jamaa yangu tuliyeshibana. Naambiwa alishakufa na amezikwa.
Hakika nimeamini watu hufa.
Leo baada ya wiki tatu kupita. Nimempigia simu jamaa yangu tuliyeshibana. Naambiwa alishakufa na amezikwa.
Hakika nimeamini watu hufa.