Watu hufa

Watu hufa

Mbona umechelewa kujua inamaana hujawahi kufiwa hata na jirani au ndugu kweli...?😅
 
Deni lake kanielekeza nichukue mm kisha nitawasilisha kwake.
Kama kweli una dhamira ya kumlipa deni lake njoo PM.
Anhaa wewe jamaa utapata mkosi ujue .

Sio deni la hela ila aliumwa sana waliokuwa wanamuuguza wakanificha hawakuniambia , akafariki ila kipindi cha kuumwa chote alikuwa akiwasihi wanijuze ila waligoma .

Sasa alipokufa ndiyo nikapewa ujumbe , deni nililonalo kwake ni kumwambia sikuambiwa kuwa anaumwa na pia ajue namkumbuka sana tena sana ila sina namna ya kumuona .

Kama unataka hela wewe jamaa kama deni mm sikupi hela ila niko Mbeya njoo tukutane Mwalumengese gharama zote zangu tufurahie kaka .
 
Back
Top Bottom