Unahukumu kabisa aseee. . . . .
ndio rais anatakiwa kuwa hivyo complex and unpredictable. . . .hiyo ndio sawa we unayaka umjue rais kama chumbani kwako hata giza totoro unajua kitana kilipo???!!!!!
Nimekuta mjadala jana mahali fulani baadhi ya wabarikiwa walio barikiwa kula nchi wakibishana kwamba watu hawamjui Kikwete.
Ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.
Nimeona kama msemo huo una maana , Hebu tuutafakari kwa kina.
Ndio Rais anatakiwa kuwa hivyo complex and unpredictable. . . .Hiyo ndio sawa we unayaka umjue Rais kama chumbani kwako hata giza totoro unajua kitana kilipo???!!!!!
Jamaa yangu wewe ndio una POVUMbona unatoka povu mkuu au na wewe ndio unatumika kwa sasa nini?! kumbuka akishatimiza anachotaka toka kwako na wewe atakudamp tu.naona kuna ukweli kwenye hili haswa ukiangalia mifano mingi tu watu waliotoa hapo juu. anyway haya ni mawazo ya mtu tu kulingana na mazingira anayoyaona so waweza kuyakubali ama kuyakataa na hakuna haja ya kuinsult mtu kana kwamba unachofikiria wewe tu ndio sahihi mkuu.hili ni jukwaa huru bana
Nimekuta mjadala jana mahali fulani baadhi ya wabarikiwa walio barikiwa kula nchi wakibishana kwamba watu hawamjui Kikwete.
Ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.
Nimeona kama msemo huo una maana , Hebu tuutafakari kwa kina.
Napenda nikujulishe kuwa, kikwete ametumia mbinu za mwana farusafa ayanyeitwa Mackiaveli, ambaye anasema kuwa tumia mbinu yoyote ile hata kama ni kuua katika kupata madaraka, na ukisha pata madaraka, tekeleza mipango yako bila kujali ni nani alikusaidia kufika hapo ulipo. Lowassa aende akasome kitabu cha mwanafarusafa huyo atajua kilichomfika, aache kulialia na kutaka kuonewa huruma na watu kama mtoto mdogo. Politics is dirty and dengerous game, be careful
In real life hupaswi kuwa na rafiki au adui Wa kudumu. Unapaswa kuwa na maslahi ya kudumu. Utapinga ila ndio dunia ilipofikia...
Kikwete ni 'silent killer'. Anakuchinja huku anacheka.
Ogopa sana mtu kama huyu.
The Boss kausha basi hahahahaMrembo umependeza na avatar yako hii