Watu hawamjui vizuri Kikwete

Watu hawamjui vizuri Kikwete

ligera

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
2,646
Reaction score
1,172
Nimekuta mjadala jana mahali fulani baadhi ya wabarikiwa walio barikiwa kula nchi wakibishana kwamba watu hawamjui Kikwete.

Ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.

Nimeona kama msemo huo una maana , Hebu tuutafakari kwa kina.
 
Nimekuta mjadala jana mahari fulani baadhi ya wabarikiwa walio barikiwa kula nchi wakibishana kwamba watu hawamjui Kikwete. ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.

kama msemo huo una maana , ebu tuutafakari kwa kina.

yaan posts zako 2000+ bado umaandika topics za hiv kwel?
 
Muulize Lowassa, Sitta, Rostam, Mgeja, Membe, Jaji Ramadhani wanaweza kuandika Kitabu kikubwa kwenye hilo. Wote hawa kawafanya Disposable Cup, kiu kikiisha tupa kule
 
Tatizo lake hana guts za kufanya maamuzu kama yeye, sometimes huwa nafikiria kuwa anaogopa kulaumiwa.Hebu fikiri alimtosa Mangula kwenye ukatibu Mkuu wa CCM kwenye uchaguzi wa chama akamtosa wakati anagombea uenyekiti wa CCM Iringa, lakini ulivyokaribia uchaguzi mkuu akamrudisha kama Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa ili amsaidie kuwachinjilia mbali wale wote wanaoonekana kugombea urais wakati si waadilifu ili asionekane ni yeye kawatosa kwa vile wao ndio waliomwingiza madarakani. Ni ndumila kuwili.
 
Nimekuta mjadala jana mahari fulani baadhi ya wabarikiwa walio barikiwa kula nchi wakibishana kwamba watu hawamjui Kikwete. ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.

Nimeona kama msemo huo una maana , ebu tuutafakari kwa kina.

Ukichambua kwa UNDANI watu wote wanafiki wako hivyo.
 
Tatizo lake hana guts za kufanya maamuzu kama yeye, sometimes huwa nafikiria kuwa anaogopa kulaumiwa.Hebu fikiri alimtosa Mangula kwenye ukatibu Mkuu wa CCM kwenye uchaguzi wa chama akamtosa wakati anagombea uenyekiti wa CCM Iringa, lakini ulivyokaribia uchaguzi mkuu akamrudisha kama Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa ili amsaidie kuwachinjilia mbali wale wote wanaoonekana kugombea urais wakati si waadilifu ili asionekane ni yeye kawatosa kwa vile wao ndio waliomwingiza madarakani. Ni ndumila kuwili.

Atamdispose one day au sio?
 
mnatoa sifa za bure tu hapa,hana lolote ajualo yule mzee zaidi ya mbunye na uswhili.
 
sasa wewe ndio PUNGUANI kwelikweli
ulichotaka ni kipi akishamtumia
AWAOE
Mbona kina Zitto walitumika na wamepigwa kibuti
Madaraka ni miaka 10 sasa Mkapa kamaliza ameenda na-nani
ligera Mada nyingine ni za kijiweni sana tena nahisi ni za kitoto
sijui mlifikia mwisho gani

Mbona unatoka povu mkuu au na wewe ndio unatumika kwa sasa nini?! kumbuka akishatimiza anachotaka toka kwako na wewe atakudamp tu.naona kuna ukweli kwenye hili haswa ukiangalia mifano mingi tu watu waliotoa hapo juu. anyway haya ni mawazo ya mtu tu kulingana na mazingira anayoyaona so waweza kuyakubali ama kuyakataa na hakuna haja ya kuinsult mtu kana kwamba unachofikiria wewe tu ndio sahihi mkuu.hili ni jukwaa huru bana
 
.............na pia huwa hawana fadhila katu NA kamwe maisha yao huo ni ya VISASI TU,.

Na mwisho wa MAISHA yao hauwi mzuri kamwe sababu atakuwa anajisikia vibaya.Mungu alituumba binadamu katika njia ya ajabu sana.Haitokaa imtoke mpaka anaingia kaburini,maana hata akisema amesamehewa lakini itamuwinda tu.
 
haaaaa jaman alipokuwa anakutumia c alikulipa kwa ulichofanya so mlitaka awagande hao watu kwani yey kupe nakufanyia kazi unanipa changu nasepa . life goes on
 
Na mwisho wa MAISHA yao hauwi mzuri kamwe sababu atakuwa anajisikia vibaya.Mungu alituumba binadamu katika njia ya ajabu sana.Haitokaa imtoke mpaka anaingia kaburini,maana hata akisema amesamehewa lakini itamuwinda tu.

Unahukumu kabisa aseee. . . . .
 
Back
Top Bottom