Nimekuta mjadala jana mahali fulani baadhi ya wabarikiwa walio barikiwa kula nchi wakibishana kwamba watu hawamjui Kikwete.
Ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.
Nimeona kama msemo huo una maana , Hebu tuutafakari kwa kina.
Ndipo alipotokea mmoja na kusema mheshimiwa huyo akiwa na shida na akiona tatizo lake linamhitaji fulani ili alitatue , akishakutumia na lengo lake limetimia anakuweka pembeni ana angalia mambo mengine.
Nimeona kama msemo huo una maana , Hebu tuutafakari kwa kina.