SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,086
- 8,000
Kwa kile kinachoonekana ni mgomo dhidi ya ununuzi wa bidhaa kutoka makampuni makubwa duniani kama vile Macdonald's, Starbucks na Disney, Mauzo na Hisa za makampuni hayo yenye majina zinazidi kuporomoka kwa kasi ya kutisha, huku sababu kuu ikibainishwa kuwa ni makampuni hayo kuonyesha kusapoti mauaji ya Israel Gaza.
Hii inaonyesha dhahiri kuwa Dunia imechoshwa na udhalimu wa Israel dhidi ya Gaza.
Coca cola na Pepsi zijiandae.
Global brands like McDonald’s, Starbucks, and Disney are facing a stock downturn, triggered by a WORLDWIDE BOYCOTT due to their support for Israeli military actions in Gaza.
Hii inaonyesha dhahiri kuwa Dunia imechoshwa na udhalimu wa Israel dhidi ya Gaza.
Coca cola na Pepsi zijiandae.
Global brands like McDonald’s, Starbucks, and Disney are facing a stock downturn, triggered by a WORLDWIDE BOYCOTT due to their support for Israeli military actions in Gaza.