Julius Kambarage Nyerere
Pope John Paul 2
Nelson Rolihlahla Mandela...
Mother Theresa
Martin Luther King
Hawa kwangu ni top 5 bora kabisa nawaheshimu Sana hawa watu kiroho na kimwili. Asante Mungu kwa kuwaleta duniani
Julius Kambarage Nyerere
Pope John Paul 2
Nelson Rolihlahla Mandela...
Mother Theresa
Martin Luther King
Hawa kwangu ni top 5 bora kabisa nawaheshimu Sana hawa watu kiroho na kimwili. Asante Mungu kwa kuwaleta duniani
Mtoe madiba kwenye hiyo list, hana lolote na heshima anayopata ni ya kutengenezwa na mataifa ya magharibi.
Mtoe madiba kwenye hiyo list, hana lolote na heshima anayopata ni ya kutengenezwa na mataifa ya magharibi.
jeykei hata uweke orodha mpaka ifike bilioni hawezi kuwepo.
historia unaijua kweli?
vigezo je?
mzee wa Mwitongo na Madiba hawana mfano aisee...
Ngoja aje Mohamed Said hapo utaonja joto ya jiwe!
muoshwa ubongo?Ukweli upo hivo na hadi nakufa najua hao ndio best!! Hao wote hua nikisoma hata taarifa zao tu hua nasikia Kama ganzi mwilini! Kila Mtu hapo alijitoa kutumikia Jamii nimemuona Nyerere, Mama Theresa na pope John Paul!! Hiki kipindi Madiba anaumwa najisikia bby Sana naamini mungu atamtolea kivuli cha mauti asherehekee miaka 95 mwezi ujao!!
mnyonge mnyongeni haki zake mpe,
jeikei- katiba mpya , uhuru wa kuongea,