thadei kimambo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 220
- 126
Mlevi mmja aliingia bar akasema kwa sauti mhudumu nipe bia na mpe kila mtu bia yake maana nikinywa bia napenda kila mtu anywe yake.~~watu wote;oyeeeeeeh!.wakapewa. mlevi akasema tena;mhudumu niletee mchemsho wa mbuzi na mpe kila mtu mchemsho wake maana nikiagiza mchemsho napenda kila mtu apewe mchemsho wake. Watu wote;oyeeeeeh!.wakapewa mchemsho. Mlevi akasema tena;mhudumu niletee bili na mpe kila mtu apewe bili yake maana nikipewa bili napenda kila mtu apewe bili yake.Watu wote;aaaah!. haiwezekani.tumkamate mwehu huyu****