watu 32 wanashikiliwa wakihusishwa na mauaji ya mwandishi

fUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE, YAMKINI NI MAMLUKI WA POLISI.......wametafuta watu wao ku-justfy na si ajabu haon 32 wakakiri, si tunaona sakata la ULIMBOKA walivyotafuta Mkenya?
 
Naomba kuuliza kuhusu wale waliokodiwa na Mh.Mwigulu toka Dar kwenda Ndago Singida kufanya mauaji kwenye mkutano wa Chadema, halafu tukaambiwa walikuwa wanunuzi wa mazao. Je ni haohao ama wemgine? Kama siyo hao, wale watakuwa wameenda wapi?
 
tumesikiliza radio tofauti mkuu. mia

kaka
kikawaida DW ndio huanza na kufuatia na BBC ambayo sasa hivi ndio matangazo yake yamekwisha saa moja unusu ya bongo ni matangazo ya saa moja tu,sasa ni VOA saa moja unusu hadi mbili kamili usiku,sasa hebu angalia mada yako umeweka saa ngapi na redio gani ilikuwa hewani?
 
Mods please unganisheni hii na ile ingine. Haiwezekani tukachangia habari 2 zinazolandana.
 
kama kawaida wanataka kubambikia watu ilhali picha zimeonyesha wazi, tena hawakufika hata 10 nini 32,
 
kweli hizi ni chenga tu na movie mpya ina anza kama ile ya ulimboka........inamaana hao jamaa walikuwa na mabomu ya machozi....... au........na zile picha zinazo onyesha polic wakiwa wamemshilikilia mwandishi je hazionyeshi watuhumiwa ni nani............toka lini mtuhumiwa akajichunguza.........
 
Na hao jamaa 32 wakishafikishwa mahakamani itakuwa si ruksa kulizungumzia swala hili. Sasa na sisi tukikubali hata kwa jambo lililo wazi hivi, basi tatizo litakuwa ni sisi wenyewe. Tunaomba wanahabari mtuongoze katika kulipigia kelele hili na kuwawajibisha wahusika wote kwa kuhusika kwao ama nafasi zao. TUMECHOKA
ASA

Wanatamani vita tu hawa policcm
:wacko:
 
hata sijui nicheke au nilie...yaani waliokamatwa ni raia wa kawaida wakati tumeona polisi wakimtoa uhai huyu bwana...aisee this can happen in bongo
 
kaka
kikawaida DW ndio huanza na kufuatia na BBC ambayo sasa hivi ndio matangazo yake yamekwisha saa moja unusu ya bongo ni matangazo ya saa moja tu,sasa ni VOA saa moja unusu hadi mbili kamili usiku,sasa hebu angalia mada yako umeweka saa ngapi na redio gani ilikuwa hewani?

nimekuelewa. lakini unakomaa sana kama mshabiki wa simba. je katika nilicho liport kuna sehemu nimedanganya au uliyo yaskia ndo nimebandika? pole sana kwa kukukwaaza. mia
 
Mods please unganisheni hii na ile ingine. Haiwezekani tukachangia habari 2 zinazolandana.

Mkuu hizi habari zinatofautiana ndo maana haziunganishwi. yule kasema wanaenda kufanya fujo mi nmesema wametoka kufanya vurugu. mia
 
ndio tatizo la watendaji wengi wakuu wa polisi kuwa na elimu ya darasa la 7, wengi wa maofisa wa polisi ninawafahamu walipata kazi kwa kigezo cha urefu.
Yaani niwa wakati jeshi linaendeshwa ki-machenical zaidi. Hawafahamu kwa dunia ya sasa unatakiwa uwe na urefu wa hakili na sio mwili. Nakugongea LIKE
 
haya ni maajabu ya tisa ya dunia

Kwa hiyo tuachane na kampeni ya kutaka tupigie kura
vivutio vyetu viingie kwenye maajabu ya dunia kwa kuwa
hili la polisi kuua raia kila kukicha ni kubwa zaidi?
Badala ya Usalama wa Raia sasa ni Uhasama wa Raia, duh!...
 
Back
Top Bottom