Watu 27 wafariki kwa ajali ya moto India

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Watu 27 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya moto kutokea katika jengo lenye ghorofa nne Jijini Delhi Nchini India, Polisi wamesema kulikuwa na watu zaidi ya 70 katika jengo hilo

Zaidi ya mashine 20 zilitumika kupambana kuuzima moto huo, ambapo watu wawili wanashikiliwa na mamlaka za usalama. Inadaiwa chanzo ni shoti ya umeme kwa kuwa jengo halikuwa na miundombinu mizuri ya umeme

Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi ametoa pole na kuahidi kutoa Dola 2,580 (Tsh milioni 5.9) kwa kila familia iliyopoteza ndugu katika tukio hilo
_124730164_d4378752-23ae-40b8-9e5b-724d04c7c3b7.jpg


Source: BBC


==================

Dozens die as blaze guts office building in India capital Delhi

Fire has swept through a four-storey office building in Delhi, killing at least 27 people and injuring at least 12, emergency services say.

More than 70 people were in the building when the fire started and police broke windows and used ropes to rescue people.

Some 20 fire engines were used to put out the blaze near Mundka metro station in the west of India's capital.

A short circuit is thought to have started the fire.

Indian media report that two arrests have been made.

Offering his condolences over the loss of lives, Prime Minister Narendra Modi promised 200,000 rupees (£2,118; $2,580) to next-of-kin in compensation for each death.

After the fire was extinguished, a rescue operation continued. "It will take time given the vastness of the area," Sunil Choudhary, deputy chief fire officer, was quoted as saying by Times of India.

Most of the bodies were reportedly found on the second.

Local official Jogi Ram Jain, said preliminary reports suggested a short circuit had caused the fire and that the building did not have proper fire safety certificatin.

"We have initiated an inquiry and if any municipal officials are found to be at fault, strict action will be taken," he was quoted as saying by the Hindustan Times.
 
Back
Top Bottom