Hussein Hana kifua soon utamsikia kwenye majukwaa akiliongelea hilo jambo jamaa ni mzuri kiutendaji ila anapenda kupanic ovyoHussein anapaswa kuwa Jasiri kama Jakaya
kahujumiwa na kundi lililompa Urais 2005 nae akajipanga akalipasua kundi akaunda kikosi kazi cha Ushindi kikamsaidia kuongoza Nchi hadi muda wake ukiasha
Ukicheza na Nyani utaambulia mabua