Watoto watundu

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,608
Reaction score
14,552
Kwa kawaida watoto ni watundu sana na hupenda kufahamu kilichojificha , lakini hawa ni zaidi

Sijui utawakatazaje?
 
hawa watoto watakuwa na akili ya kiuasherati.
 
Hahahahaaa,,, hutu tutoto tumezidi kudadisi aisee...
 
Ndio maana mtoto akionyesha kudadisi anatolewa nduki kwa wazazi wake hawalali nae tena, ila nitoe angalizo siyo kwa maisha ya sasa hv ya chumba kimoja
 
Mmh! Ndugu hii ni hatari" je mwenyekosa nani? Kipind hiki watoto wanakuwa wadadis sana hasa katika mambo ambayo yanapendwa au kuzungumzwa na wakubwa ingawa kiukwel hayana tija kwa maendeleo ya akili zao zaidi kuwakomaza! Tuwe makin bandugu zangu.
 
huyu wa pili ndio kanitoa nishai hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
hahahahahahaha!!!!!!! Huyu wa pili ni sumu, hahahahahaha!!!!!!
 
Utandawazi umewaathiri tangia wakiwa tumboni
 
Ni ishara nzuri kwa ukuaji wa mtoto!atakuwa na iq kubwa !hahahahaaaaa!ila wa pili kazidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…