Watoto Wapandwa na Mashetani, Waweweseaka & Kuzimia- Amerika

Ambiente Guru

JF-Expert Member
May 21, 2012
2,602
1,084
Imetokea huko nchini Peruu, Bara la Amerika ya Kusini ambapo watoto wa shule takriban mia wamepandwa na kiwewe cha mashetani. Katika tukio hilo watoto wa shule waliweweseka, Walianguka ovyo, kupagawa, kuzimia , kupiga mayowe na kupoteza fahamu, huku wengi wakikiri kumwona mtu mwenye mwenye kuvaa nguo nyeusi akitaka kuwaua (man in black trying to kill them).

Shule hiyo inasemekana imejengwa juu ya makaburi ya zamani ya Wamafia (toka Italy).
Madaktari wanapata hali ngumu kuwatibu na kuelezea chanzo cha tukio hilo.

3454AD2D00000578-3596516-image-a-2_1463567143892.jpg


3454AD3D00000578-3596516-image-a-3_1463567146892.jpg


Chanzo: DailyMail la Uingereza

80 children hospitalised by outbreak of 'demonic possession' in Peru
 
Mashetani ni mabaya kuna siku yatawavaa madereva wote Wa mabasi ya mwendo kasi ma abiria wote, nimesikia mtabiri maarufu akitabiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom