Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,865
Kwasababu haiwezekani katoto eti kana miezi mitatu halafu unakaita "zakaria.....we zakariaaaaa"...halafu kanaitika naaaam!!...au kanageuka kanakuangalia!!!tukubali kuna nguvu zaidi ifanyayo haya...hutaki we mbishi sasa,sijajua nizame dini/dhehebu gani....au kwa mkuu Muhamed said??