zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Watoto ama wanafunzi wanaosoma English medium school kichwani hamna kitu wanachojua ni kuongea kiingereza tu...
Ila other subjects nothing kabsa yaani hata wa shule za kata bora wana uelewa mkubwa!
Ila other subjects nothing kabsa yaani hata wa shule za kata bora wana uelewa mkubwa!