Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Emok Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2018
Posts
1,094
Reaction score
800
Source: Azam news

Watoto Igoma jijini Mwanza wameingiwa na kapepo kakufumuana marinda cha kusikitisha ni kuwa hawa watoto ni umri wa miaka 12 - 22 ambao ni umri wa shule.

Pia geto lao ni kwenye mapango jirani na yale mawe ya Mwanza ndo chumba chao.

Ushauri: mchunge watoto wenu.

=====

NGONO ZA JINSIA MOJA MWANZA ZAOTA MIZIZI: Hofu imetawala kwa wazazi na walezi wa Kata ya Igogo Mwanza kufuatia kuzuka kwa tabia za baadhi ya wavulana kujihusisha na vitendo vya ngono za jinsia moja kinyume na maadili.
 
Source: Azam news

Watoto mkoani mwanza wilaya ya nyamongo wameingiwa na kapepo kakufumuana marinda cha kusikitisha ni kuwa hawa watoto ni umri wa miaka 12 - 22 ambao ni umri wa shule.

Pia geto lao ni kwenye mapango jirani na yale mawe ya mwanza ndo chumba chao.

Ushauri: mchunge watoto wenu.

Mwanza kuna Wilaya inaitwa Nyamongo? Imeanzishwa lini? Au kwa vile miezi 6 nilikuwa nje ya nchi?
 
Machokolaa wana pigana miti balaa kuna Siku niko ubungo bus terminal. Chokolaa kutoka singida ambae alikuwa mgeni wa jiji kalawitiwa Na chokolaa mzoefu wa DSM, kilicho Fanya ni gundue ugonvi ulitokea baina yao. alie lawitiwa ana dai pesa kuwabana wote ikaonekana kalawitiwa siku mbili akiahidiwa pesa, ajabu alie fanyiwa ufedhuli ni mkubwa kuliko alie lawiti. Wanafagia mabasi usiku kucha na kulipwa ujira kidogo. Ufanyike utaratibu wa kuwarudisha makwao watoto hawa wengi ni kutoka mikoani
 
Aiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?

Mara moja moja anafurukuta na kutoka kwenye minyororo...
 
Aiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?
Msemo wa Mungu sio athumani una fumbo kubwa sana. Hao wakina athumani wako rejected.
Ramadhani maasi yamezidi
 
Back
Top Bottom