Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,661
- 9,968
Ucheke kidogo uongeze siku za kuishi.
Baba: We mtoto hebu niletee soda...
Mtoto: Cola au Pepsi?
Baba: Pepsi.
Mtoto: Kopo au Chupa?
Baba: Kopo.
Mtoto: Baridi au moto?
baba: Baridi.
Mtoto: Ndogo au Bonge?
Baba: Aaa! Basi niletee tu maji.
Mtoto: Ya bombani au dukani?
Baba: We mtoto nitakupiga?
Mtoto: Na mti au chelewa?
Baba: N'takuua nakwambia!
Mtoto: Kwa Rungu au bunduki?
Baba: Bunduki.
Mtoto: Kichwani au kifuani?
Baba, toka nje!
Mtoto: Sasa hivi au baadaye?
Baba: Sasa hivi.
Mtoto: Kwa hiyo maji hutaki tena?
Baba: (akasema kimoyomoyo) "nilimwambia mke wangu tukilewa tusifanye,
yeye anang'ang'ania, haya ndiyo matokeo yake..."
Baba: We mtoto hebu niletee soda...
Mtoto: Cola au Pepsi?
Baba: Pepsi.
Mtoto: Kopo au Chupa?
Baba: Kopo.
Mtoto: Baridi au moto?
baba: Baridi.
Mtoto: Ndogo au Bonge?
Baba: Aaa! Basi niletee tu maji.
Mtoto: Ya bombani au dukani?
Baba: We mtoto nitakupiga?
Mtoto: Na mti au chelewa?
Baba: N'takuua nakwambia!
Mtoto: Kwa Rungu au bunduki?
Baba: Bunduki.
Mtoto: Kichwani au kifuani?
Baba, toka nje!
Mtoto: Sasa hivi au baadaye?
Baba: Sasa hivi.
Mtoto: Kwa hiyo maji hutaki tena?
Baba: (akasema kimoyomoyo) "nilimwambia mke wangu tukilewa tusifanye,
yeye anang'ang'ania, haya ndiyo matokeo yake..."