Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,268
- 33,040
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya hii neno ( Imbombo ngafu) ? Mkuu King Kong IIIImbombo ngafu!
Wataiga vyote sio kucheza na nyoka mkubwa namna hiyo mkuu markjuwajui watoto wa kibongo wewe! kama wanaiga wakubwazao wa chuo kuandamana na kupambana na ffu ndo itakuwa hii! chezea bongo toto wewe
Nini maana ya hii neno ( Imbombo ngafu) ? Mkuu King Kong III
Wataiga vyote sio kucheza na nyoka mkubwa namna hiyo mkuu markj
basi ni hatari sana watoto wa kibongo............. markjwe huwajui hawa watoto! hatari sana! wanalichukua bomu la machozi wanaweka ndani ya bag afu wanaenda nalo shuleni kuringishiana! nyoka huyo keshachakachuliwa lakini bomu la machozi alichakachuliwi mkuu
basi ni hatari sana watoto wa kibongo............. markj
Poleni sana nyinyi Walimu mliogoma Serikali imeshindwa kuwalipa Ma Daktari itakuwa nyinyi Waalimu? Je wewe pia umegoma kusomesha? au wewe haumo kwenye mgomo? gfsonwinMziziMkavu una wa underestimate watoto wa kibongo siyo? waulize waliokuwa wanaandamana walipata wapi ujasiri huo tena pasi kuambiwa walibeba mabango na kupita barabaran na wengine wakapakizwa karandinga kwenda lokapu tena walikuwa very happy sasa sijui uthubutu ni wapi wanaupata.
Poleni sana nyinyi Walimu mliogoma Serikali imeshindwa kuwalipa Ma Daktari itakuwa nyinyi Waalimu? Je wewe pia umegoma kusomesha? au wewe haumo kwenye mgomo? gfsonwin
Na wewe pia leo hujakwenda shule? kazi kweli ipo huko nyumbani gfsonwin Waziri wa Elimu Mh Mr Shukuru kawambwa atawafukuzeni wote.khaaa! kwani hao madaktari wana nini hasa ukulinganisha na waalim? mbona kauli yako imekaa kidharau sana? sisi tumegona na hapa hatutaki utani hadi kileleweke
Ndio Demokrasia hiyo kila mahali lazima kuwepo na Migomo hata ulaya migomo ipo ndio haki itakapo tendeka pasipo na migomo hakuna haki hio ndio Demokrasia ya kweli wanaopinga migomo hawataki hakiza watu wapewe Mkuu Mbuzi MzeeMaalim Mzizi, hii ni hatari na kutafutiana lawama, Wazazi wakirudi watakuta Mtoto kapotea, na lijidubwana limelala
Ungasulwa una maana gani mkuu mikelaUngasulwa MziziMkavu
Na wewe pia leo hujakwenda shule? kazi kweli ipo huko nyumbani gfsonwin Waziri wa Elimu Mh Mr Shukuru kawambwa atawafukuzeni wote.