Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Huko pia watu wanauwana,husikizi au kusoma au kuangalia vyombo vya habari?Binadamu tuacheni kuuwana,tupendane.Dah,noma sana watoto wa urusi na amerika wana dance vigodolo kwa raha zao
Syria sio nchi ya Kiislam Syria ni nchi ya kiarabu kuna Wakristo Syria wengi tu. Sio kila nchi ya kiarabu ndio nchi ya Kiislam kwa mfano Lebanon ni nchi ya kiarabu lakini kuna Wakristo wengi waarabu nchini Lebanon sasa utasema Lebanon ni nchi ya Kiislam?Halafu hizi ni nchi za kiislamu dini ya haki.
Huyo hakumbuk hata Damascus ya akina mtume paulo??au kingunge huyoSyria sio nchi ya Kiislam Syria ni nchi ya kiarabu kuna Wakristo Syria wengi tu. Sio kila nchi ya kiarabu ndio nchi ya Kiislam kwa mfano Lebanon ni nchi ya kiarabu lakini kuna Wakristo wengi waarabu nchini Lebanon sasa utasema Lebanon ni nchi ya Kiislam?
Na hizo ndege ni za nchi za Kikiristo Makafiri wasio na utu tamaa ya mafuta ndio mungu wao ! Pastor AchachandaHalafu hizi ni nchi za kiislamu dini ya haki.
Alikuwa hajajua hata Pakistan Afghanistan kote huko kuna wakristoSyria sio nchi ya Kiislam Syria ni nchi ya kiarabu kuna Wakristo Syria wengi tu. Sio kila nchi ya kiarabu ndio nchi ya Kiislam kwa mfano Lebanon ni nchi ya kiarabu lakini kuna Wakristo wengi waarabu nchini Lebanon sasa utasema Lebanon ni nchi ya Kiislam?
Kivipi kaka?Syria na Libya walidanganywa kama sisi hapa Tanzania tunavyodanganywa na majizi Chadema eti mabadiliko.
Wakashike UKUTA huko ,hatutaki mabadiliko feki