Watoto wa dot com

Watoto wa dot com

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,958
Kwa wasio wahenga (Watoto wa Dot com) nawajulisha kwamba hawa ndio waasisi wa Taifa letu. Sheikh Abeid Aman Karume Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Mwl Julius Kambarage Nyerere Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika
FB_IMG_1764231555025.jpg
 
Kwa wasio wahenga (Watoto wa Dot com) nawajulisha kwamba hawa ndio waasisi wa Taifa letu. Sheikh Abeid Aman Karume Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Mwl Julius Kambarage Nyerere Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya TanganyikaView attachment 3508179
Wote ni makahaba kiasi cha kutia kinyaa.

Nisameheni kama nimewakwaza.
 
Kwa wasio wahenga (Watoto wa Dot com) nawajulisha kwamba hawa ndio waasisi wa Taifa letu. Sheikh Abeid Aman Karume Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar na Mwl Julius Kambarage Nyerere Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya TanganyikaView attachment 3508179
Waasisi wa Tanganyika ni Wajerumani. Ndiyo walichora mipaka hii ya Tanganyika tuliyonayo leo. Wajerumani pia walinunua ile maili kumi ya Pwani ya Tanganyika kuanzia mpaka wa Msumbiji hadi mpaka wa Kemya toka kwa Sultani wa Zanzibar. Kwa hiyo unaposema Nyerere ni muasisi wa Tanganyika sikuelewi.

Labda useme Nyerere alisaidiana na wenzake kuondoa ukoloni wa Muingereza akaleta ukoloni wa TANU/CCM.

Karume naye hakuasisi nchi ya Zanzibar. Nchi ya Zanzibar ilikuwepo tu miaka mamia kabla ya Karume ikiwa na mipaka yake. Karume alisaidiana na wenzake kina Okello kuondoa ukoloni wa Sultani na kuleta usultani wa ASP/CCM
 
Back
Top Bottom