kichungwaa
Member
- Oct 21, 2014
- 70
- 15
Habari zenu wakuu,
Kina baba tunajua mnapenda sana watoto sio kama kipindi cha nyuma lakini yahitaji uvumilivu na subira pia imekuwa ukiona miezi tu hakuna dalili mnaanza visa na maneno ya kejeli na dharau ndani ya nyumba.
Nimeshindwa namshauri vipi rafiki yangu wanajamvi mnisaidie ana mchumba wake wana mwaka tu na ni vijana tu kiumri hawajifka above 30s.
Lakini mwanaume ameshaanza mdomo jamani na kuchepuka kutafuta mtoto hakuna amani ndani na ni wachumba tu kina baba kuweni kidogo na uvumilivu mbono yakiwakuta nyie mnavumiliwa (mke ana tatozo la mirija kuziba na anatafuta matibabu).
Nimshauri vipi rafiki yangu na anampenda sana mume wake.
Kina baba tunajua mnapenda sana watoto sio kama kipindi cha nyuma lakini yahitaji uvumilivu na subira pia imekuwa ukiona miezi tu hakuna dalili mnaanza visa na maneno ya kejeli na dharau ndani ya nyumba.
Nimeshindwa namshauri vipi rafiki yangu wanajamvi mnisaidie ana mchumba wake wana mwaka tu na ni vijana tu kiumri hawajifka above 30s.
Lakini mwanaume ameshaanza mdomo jamani na kuchepuka kutafuta mtoto hakuna amani ndani na ni wachumba tu kina baba kuweni kidogo na uvumilivu mbono yakiwakuta nyie mnavumiliwa (mke ana tatozo la mirija kuziba na anatafuta matibabu).
Nimshauri vipi rafiki yangu na anampenda sana mume wake.