sioni tatizo la kondom wala pombe kutangazwa, ni vema matangazo yatolewe kwa uwazi kabisa watoto waelewe mapema, usiri kwa kujidai kutowafundisha watoto ndio kuna liangamiza taifa. Nitakupa mfano mdogo ukienda nchi kama uingereza teenagers wanaanza ngono mapema sana wakiwa high school na vyuoni lakini cases za mimba na magoinjwa ya zinaa ukiwamo ukimwi ni ndogo sana, sababu wanajitambua na kondomu inazunguzmwa kwa uwazi, no condom no sex.