MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Nguvu kubwa inayotumika katika matangazo ya bia na kondoms hadharani, watoto na vijana wengi sidhani kama watasalimika na kua walevi na wazinifu. Pombe inatangazwa kua ni haramu tu kutumia ukiwa chini ya miaka kumi nane. Na tumia kondums na sio usifanye mapenzi kabla ya ndoa.
Kwa hiyo baada ya miaka kumi, au zaidi ijayo, tanzania itakua niya kizazi cha pombe na zinaa. Achilia mbali mapenzi ya jinsia moja.
Viongozi wa dini inaonekana wamezidiwa na wengineo wanajivinjari katika hayo vilevile.
Kwa hiyo baada ya miaka kumi, au zaidi ijayo, tanzania itakua niya kizazi cha pombe na zinaa. Achilia mbali mapenzi ya jinsia moja.
Viongozi wa dini inaonekana wamezidiwa na wengineo wanajivinjari katika hayo vilevile.