Watoto kukupenda?

Watoto kukupenda?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,157
Reaction score
2,663
Kuna watu wana bahati sana ya kupendwa na watoto wadogo au vijana wadogo wa jinsia zote mbili (kike na kiume), hivi ni kitu gani kinawafanya wapendwe na watoto? maana hata mtoto ambaye hamfahamu (mwenye kupendwa na watoto) akiongea naye maneno mawili matatu utakuta huyo mtoto anamfurahia na kuwa rafiki yake...kila akimwona anatabasamu na kumfurahia.

Na hao watoto wakishakua wakubwa basi urafiki unapoa na bado mtu anaendelea kupendwa na watoto wadogo popote pale anapokwenda.

Why?
 
mimi pia napendwa sana na watoto wadogo popote nikiwa,sababu kubwa uwa nawanunulia zawadi pipi,biskuti,chocolate etc.
hivo inapelekea watoto wakiniona kwa mbali unikimbilia ata kama wamebebwa na wazazi wao,watawaponyoka kuja kwangu,hio inatokana na kukaa nao vizuri na kuwapa zawadi kila siku,nikiwa sipo wananimiss sana.

Pia nimekuwa nikifanya party kwa mtaa na kulika watoto wote wadogo kuja kuparty,wanacheza,na kupata zawadi nyingi sana,kama utoi watoto awawez kukupenda,ni hayo tu
 
mimi pia napendwa sana na watoto wadogo popote nikiwa,sababu kubwa uwa nawanunulia zawadi pipi,biskuti,chocolate etc.
hivo inapelekea watoto wakiniona kwa mbali unikimbilia ata kama wamebebwa na wazazi wao,watawaponyoka kuja kwangu,hio inatokana na kukaa nao vizuri na kuwapa zawadi kila siku,nikiwa sipo wananimiss sana.

Pia nimekuwa nikifanya party kwa mtaa na kulika watoto wote wadogo kuja kuparty,wanacheza,na kupata zawadi nyingi sana,kama utoi watoto awawez kukupenda,ni hayo tu

Inaonekana wewe ni mtu mwenye bahati kumbe tofauti na wale madem 70 kumbe hata watoto wanakupenda?
 
Inaonekana wewe ni mtu mwenye bahati kumbe tofauti na wale madem 70 kumbe hata watoto wanakupenda?

watoto siku zote upenda mtu wa kujali.mim sina mtoto lakin nawajali watoto wote bila kuwabagua,niwajue au nisiwajue sijali
 
Inatokana na kuwa karibu nao zaidi na kuwaletea zawadi, binafsi mtaa ninaokaa kuna watoto wananipenda as nikiwaona nawabeba na kuwapa zawadi, pia kuna siku wanakuja home nawaacha wanacheza, kuna time wazazi wao wanakuja kuwachukua lakini wanakataa
 
mi nipo kiteto manyara kuna rafiki yangu yuko magereza hapa sababu alikuwa na mazoea ya kuwapa zawadi watoto na hatimaye kupewa kesi ya kulawiti mtoto wa miaka 10 mi sipendi mazoea na watoto kwan nimeona yaliyomtokea rafiki yangu!
 
Mtoto humpenda mtu mwenye kuonesha kumjali, kumlinda na kuwa karibu naye.

Pia watoto hutofautiana tabia, wapo watoto ambao ni wachangamfu na wana hulka ya kupenda mtu yoyote.
 
Watoto wanapenda watu wenye kuwaonyesha upendo na kuwajali. Mimi jibaba zima bado nikiona uncles na aunties walionionyesha upendo nikiwa mdogo nafurahi sana pamoja na umri huu. Hii ni kutokana na ule upendo waliouonyesha kwangu back then. Kids can tell when u show them true love and caring.
 
mimi pia napendwa sana na watoto wadogo popote nikiwa,sababu kubwa uwa nawanunulia zawadi pipi,biskuti,chocolate etc.
hivo inapelekea watoto wakiniona kwa mbali unikimbilia ata kama wamebebwa na wazazi wao,watawaponyoka kuja kwangu,hio inatokana na kukaa nao vizuri na kuwapa zawadi kila siku,nikiwa sipo wananimiss sana.

Pia nimekuwa nikifanya party kwa mtaa na kulika watoto wote wadogo kuja kuparty,wanacheza,na kupata zawadi nyingi sana,kama utoi watoto awawez kukupenda,ni hayo tu

Dah hongera sana...ila kuna ile mtoto akikuona tu anakupenda hata kama hujafanya chochote kwa mtoto, nasikia hii ipo
 
ukionyesha sura ya upendo tu, lazima watoto wakufurahie na kuonyesha urafiki nawe...
 
Kuna watu wana bahati sana ya kupendwa na watoto wadogo au vijana wadogo wa jinsia zote mbili (kike na kiume), hivi ni kitu gani kinawafanya wapendwe na watoto? maana hata mtoto ambaye hamfahamu (mwenye kupendwa na watoto) akiongea naye maneno mawili matatu utakuta huyo mtoto anamfurahia na kuwa rafiki yake...kila akimwona anatabasamu na kumfurahia.

Na hao watoto wakishakua wakubwa basi urafiki unapoa na bado mtu anaendelea kupendwa na watoto wadogo popote pale anapokwenda.

Why?

hii hutokea tu hasa kwa sisi wenye roho za ng'ombe kila kitu kinathamani..
 
mimi pia napendwa sana na watoto wadogo popote nikiwa,sababu kubwa uwa nawanunulia zawadi pipi,biskuti,chocolate etc.
hivo inapelekea watoto wakiniona kwa mbali unikimbilia ata kama wamebebwa na wazazi wao,watawaponyoka kuja kwangu,hio inatokana na kukaa nao vizuri na kuwapa zawadi kila siku,nikiwa sipo wananimiss sana.

Pia nimekuwa nikifanya party kwa mtaa na kulika watoto wote wadogo kuja kuparty,wanacheza,na kupata zawadi nyingi sana,kama utoi watoto awawez kukupenda,ni hayo tu

Sidhani kama zawadi na kujali ni sababu ya kupendwa na watoto, Kwakweli mimi si mtoaji mzuri wa zawadi na wala si mtu wa stori sana ila mara nyingi mno nimekuwa nikiona watoto wakinipenda hadi kunishangaza mimi mwenyewe. Nakumbuka miaka ya mwishoni mwa tisini nilishi kwa mjomba wangu mmoja na ilikuwa familia kubwa sana lakini watoto wake walinipenda sana from day one, mtoto mmojawapo hakuwa akikubali kubebwa na mtu mwingine yeyote kama niko around. Wakati Fulani nilikuwa nimepanga mahali Fulani penye wapangaji wengi, basi nikitoka chuo watoto wa wapangaji wenzangu wananizunguka na kuingia chumbani kwangu, hapo sijatoa zawadi wala kuwapigisha stori, I think it just happens naturally!
 
Sidhani kama zawadi na kujali ni sababu ya kupendwa na watoto, Kwakweli mimi si mtoaji mzuri wa zawadi na wala si mtu wa stori sana ila mara nyingi mno nimekuwa nikiona watoto wakinipenda hadi kunishangaza mimi mwenyewe. Nakumbuka miaka ya mwishoni mwa tisini nilishi kwa mjomba wangu mmoja na ilikuwa familia kubwa sana lakini watoto wake walinipenda sana from day one, mtoto mmojawapo hakuwa akikubali kubebwa na mtu mwingine yeyote kama niko around. Wakati Fulani nilikuwa nimepanga mahali Fulani penye wapangaji wengi, basi nikitoka chuo watoto wa wapangaji wenzangu wananizunguka na kuingia chumbani kwangu, hapo sijatoa zawadi wala kuwapigisha stori, I think it just happens naturally!

unayosema ni mkweli mkuu,lakin kama uwap zawadi basi inatakiwa utabasamu tu lazima watakupenda
 
Hahahahaa!
Mkuu ni kipaji cha KUCHOKOROA AKILI ZA KITOTO TU!
Mi mwenyewe wananikubali thaana, yaani thaana! Hadi wazazi wao wananishangaa! Sometimes wakizingua wazazi wao hunitafuta!
Na kama unataka niambie nikufundishe!

Kuna watu wana bahati sana ya kupendwa na watoto wadogo au vijana wadogo wa jinsia zote mbili (kike na kiume), hivi ni kitu gani kinawafanya wapendwe na watoto? maana hata mtoto ambaye hamfahamu (mwenye kupendwa na watoto) akiongea naye maneno mawili matatu utakuta huyo mtoto anamfurahia na kuwa rafiki yake...kila akimwona anatabasamu na kumfurahia.

Na hao watoto wakishakua wakubwa basi urafiki unapoa na bado mtu anaendelea kupendwa na watoto wadogo popote pale anapokwenda.

Why?
 
mimi pia napendwa sana na watoto wadogo popote nikiwa,sababu kubwa uwa nawanunulia zawadi pipi,biskuti,chocolate etc.
hivo inapelekea watoto wakiniona kwa mbali unikimbilia ata kama wamebebwa na wazazi wao,watawaponyoka kuja kwangu,hio inatokana na kukaa nao vizuri na kuwapa zawadi kila siku,nikiwa sipo wananimiss sana.

Pia nimekuwa nikifanya party kwa mtaa na kulika watoto wote wadogo kuja kuparty,wanacheza,na kupata zawadi nyingi sana,kama utoi watoto awawez kukupenda,ni hayo tu

Duuh kwenye party watoto watakukumbusha kila siku urudie kufanya party
 
Back
Top Bottom