Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,663
- Thread starter
- #21
tabasamu tuu la usoni.
Lkn wanaweza kujua iliyo feki usoni maana hao ni malaika
tabasamu tuu la usoni.
labda ukitabasamu,lakin ukikunja ndita anaogopa
mi nipo kiteto manyara kuna rafiki yangu yuko magereza hapa sababu alikuwa na mazoea ya kuwapa zawadi watoto na hatimaye kupewa kesi ya kulawiti mtoto wa miaka 10 mi sipendi mazoea na watoto kwan nimeona yaliyomtokea rafiki yangu!