Watoto kukaa kwenye gari huku wazee wamesimama haifai

Aisee kwa hiyo mnataka kiniambia mtoto akisimama na mzee akikaa ni heshima,.......
Kwangu itakuwa ngumu kidogo

Eti my dear ICHANA hii inakuja kweli? mzee na mimvi yake amesimama huku mtoto amekaa anamshangaa! hata mimi nasema hapana.
 
Last edited by a moderator:
ccm walifirisi mradi wa school bus, kwanza dar hakuna wazee na wala hakuna heshima yoyote mtoto abinywebinywe kwenye daladala kwa kusimama wakati kachoka.

wito kwa wazazi kama mtoto wako anatumia daladala kwenda shule nauli mpangie awe analipia seat ya mtu mzima. fullstop
 
Anaruhusiwa kukaa na ni jambo jema mtoto naye akakaa kwenye kiti lakini heshima ni jambo jema, hapa namaanisha mzazi anamlipia kiti mtoto huku mzee amesimama, kwanini asimpakate au kumwambia mkubwa akae kwenye siti na kumpakata mtoto? heshima haiendi na wakati mkuu.

Heshima ni kupishwa siti tu?
 
Siku zote mwanamke ndiye mlezi wa kwanza wa mtoto. Hii maana yake ni kwamba mtoto mdogo mara nyingi anashinda na mama yake na ndiye anayetegemewa kumfundisha mtoto kipi chema na kipi kibaya ili aweze kujua kutokana na ugeni wake na uchanga wa ubongo wake.
Lakini cha wamama hawafanyi hivyo badala yake wanamuacha mtoto apambane na mazingira mageni kwake! nimeshudia wazazi wanawalipia siti watoto wao huku wazee wakisimama, mtoto unategemea ajifunze nini hapo? tubadilike jamani.

Sitokuja kupisha wazee siti tena coz kuna mzee nlishampisha siti hata hakusema asante kudadeki
Ss kawaponza wazee wenzake wote aisee
 
Kuna siku nilipanda daladala na mdogo wangu, nikamkalisha kwenye seat nikamlipia nauli ya mtu mzima Gari lilishona, konda akataka dogo ampishe mtu akae, nilitamani kumchapa makofi
samahani na wewe ulikuwa na siti au umesimama, mm Konda angerudisha Nauli kwani mtoto ana haki zote, Kupendwa matibabu na Uhuru wa kujieleza

hapa namaanisha mzazi anamlipia kiti mtoto huku mzee amesimama, kwanini asimpakate au kumwambia mkubwa akae kwenye siti na kumpakata mtoto? heshima haiendi na wakati mkuu.
sawa lkn km na mm nipo ndani ya Daladala kweli HUMPAKATI Mwanangu ntampakata mwenyewe
Hii Mkuu ilishanitokea mata nyingi, Binti wangu wa miaka 3 tulikaa naye siti ya watu wa2 nikampakata nikiwa na jaa mwingine na kwa vile dirishani kwenye daladala ilibidi mm nisimame mtoto akae ili aridhike
Safari zenyewe za Town hata dk 10 haziishi acheni watoto wakae waliokosa wasubiri usafiri mwingine lkn km ni Mwanafunzi nakubai ni kijana asimame tu na kupisha Wajawazito na vikongwe
 
We mzee ujana wako umekula sasa jua limezama unakuja kuwapa tabu wajukuu au watoto wako umeshindwa hata kununua kaVitz? Kama ningekua mie kwenye hizo daladala ningewampisha mjamzito tu!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
samahani na wewe ulikuwa na siti au umesimama, mm Konda angerudisha Nauli kwani mtoto ana haki zote, Kupendwa matibabu na Uhuru wa kujieleza


sawa lkn km na mm nipo ndani ya Daladala kweli HUMPAKATI Mwanangu ntampakata mwenyewe
Hii Mkuu ilishanitokea mata nyingi, Binti wangu wa miaka 3 tulikaa naye siti ya watu wa2 nikampakata nikiwa na jaa mwingine na kwa vile dirishani kwenye daladala ilibidi mm nisimame mtoto akae ili aridhike
Safari zenyewe za Town hata dk 10 haziishi acheni watoto wakae waliokosa wasubiri usafiri mwingine lkn km ni Mwanafunzi nakubai ni kijana asimame tu na kupisha Wajawazito na vikongwe

Utakuta mtu analazimisha kupanda halafu anataka apishwe kiti.

Na mimi huwa sisimami kwenye gari, nitasubiri la kukaa no matter what
 
Lakini rafiki kama umekwenda Ulaya, watu wazima wanawapisha watoto. Infact huwa wanatushangaa wakiona umekaa kwenye kiti mtoto amesimama, huwa wanaku-point wanacheka! Labda utasema tusiige mila za kizungu. Nakumbuka hapo zamani labda na sasa baba ndiye anakula mboga nyingi kuliko watoto! Sikatai wazee wapishwe/tupishwe na vijana na si watoto in the sense ya watoto.......Let us hope the RBT yatakuwa na provision ya seats za wazee!
Mkuu sio kuiga uzungu tunastahili kufikiria haya tukiwa na umri wa ujana hasa kwa watunga sera, wenzetu wanajithamini kwa kuweka mifumo mizuri hata wakizeeka, mfano la siti zao maalum kwenye mabasi au hata vituo vyao vya kuwahudumia, Huku kwetu ni kula ujana tu yambele yatajisumbukia yenyewe
 
Mkuu sio kuiga uzungu tunastahili kufikiria haya tukiwa na umri wa ujana hasa kwa watunga sera, wenzetu wanajithamini kwa kuweka mifumo mizuri hata wakizeeka, mfano la siti zao maalum kwenye mabasi au hata vituo vyao vya kuwahudumia, Huku kwetu ni kula ujana tu yambele yatajisumbukia yenyewe

Watu wanataka kusema utamaduni wa ulaya na afrika ni sawa.
 
Mi huwa napisha walemavu tu., mpaka mzee anapanda gari lililojaa inamaanisha anajiona ananguvu za kusimama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom