charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,001
Nisamehe kama nimekukwaza, Hum ndani tupo watu wenye akili tofauti na ndio maana kuna majukwaa tofauti na si kila mwanamke ana kiwango cha kufikiri kama changu (usijumuishe)...kuna wanawake wanashinda jukwaa la siasa, jamii inteligence,sports e.t.c Kama unaona mada sio level yako pita kimyakimya nenda kwenye mada zinazolingana na upeo wako....
NB: Siku uliyoanza kuniheshimu hukuniambia na leo umeacha hukuwa na sababu ya kuniambia na sikuwa napata hata senti mbovu kutokana na heshima yako kwangu....
acha naye huyu ana stress za maisha amemua kuja kukupumzikia...who cares!!!