na kesho watafanya kila njia wafanye tena hiyo mambo
Ukiacha kopo la rangi mbele ya watoto wa umri huo lazima utarajie hayo waliyofanya. Kama hawatafanya hivyo basi watoto hao ni ama super genius au super mburulas.Ni kweli aisee
Umenikumbusha mwaka 1993 mzee mmoja aliajiri mafund wapake rangi nyumba yake mpya katika makazi yake. Baada mafubdi kumaliza kupaka rangi na rangi ikabaki jamaa wakaamua kupaka rangi tena kila kitu kilichokuwa kwenye nyumba kukuu, rangi ikabaki tena jamaa wakakamata watoto wa bosi umri kama wa hao kwenye picha juu wakawapaka rangi wakifiriki kuwa wanatumia vizuri rangi eti isitupwe.
Bos alipokuja akapokelewa na wanae wakiwa in white color jamaa aliwaka utadhani kifaru kajeruhiwa kwa risasi
alikuwa kuangalia tamthiliya teh teh
upeo wa wanawake utaona ktk vitu wanavyopost o kujadili
#nilkuwa nakuheshim lakin sikuheshimu tena!