Wateule wa Serikali wanaionea CHADEMA

Wateule wa Serikali wanaionea CHADEMA

Ila tuache unafiki na tuiseme kweli, Chadema wanaonewa kweli kweli.

Na kama wewe ni mwanaCCM unashangilia ushindi dhidi ya Chadema awamu hii ya JPM basi wewe hauna akili.
 
Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia.
Yule mzee alijenga CCM na katiba zote na maazimio yote ni mazao ya Kingunge. Yule mzee kafariki kwa majonzi sana, think the way he did for these f....cking crooked called CCM and their bashing......

Hell is waiting for you ........ The Alfa and Omega is at your gates...
 
Je, huu ndio mwanzo wa mwisho wa ccm?! Tunaona wananchi wanaichoka CCM sasa inatetewa na kila chombo cha dola na vyenye kutoa maamuzi.
Msajili wa vyama, tume ya uchaguzi, polisi na mahakama vyote vime side na ccm. Sasa makosa ya Serikali wanataka yatumike kuihukumu CHADEMA.

Wanaanza kusema CHADEMA ifutwe ilikuiondolea CCM upinzani. Wameona CCM imeshindwa kujitetea yenyewe sasa wanatumua vyeo vyao walivyopewa na mwenyekiti wa ccm kuimaliza CHADEMA.

Wote walioteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa wanajitoa akili kutaka kuiangamiza chadema, msajili wa vyama vya siasa, mwenyekiti tume ya uchaguzi, IGP, DED na majaji wa Mahakama wote wanaitafutia CHADEMA makosa.

Hii haitakuwa haki kwa CHADEMA kuhukumiwa na mpinzani/hasimu wake kisiasa. Wakitaka kuihukumu chadema walete chombo huru kisicho na maslahi yoyote kisiasa Tanzania
Kwa kweli na mie nashangaa, mfano kama juzi kapilima na kagurumjuli wanakwepaje hapa kwani wao ndio walioanzisha hili valangati, halafu unaenda kamata watu wa kati, ninavyoona 2020 serikali ijiandae kuua halaiki, kwani sie wa mikoani tushaon a
 
Je, huu ndio mwanzo wa mwisho wa ccm?! Tunaona wananchi wanaichoka CCM sasa inatetewa na kila chombo cha dola na vyenye kutoa maamuzi.
Msajili wa vyama, tume ya uchaguzi, polisi na mahakama vyote vime side na ccm. Sasa makosa ya Serikali wanataka yatumike kuihukumu CHADEMA.

Wanaanza kusema CHADEMA ifutwe ilikuiondolea CCM upinzani. Wameona CCM imeshindwa kujitetea yenyewe sasa wanatumua vyeo vyao walivyopewa na mwenyekiti wa ccm kuimaliza CHADEMA.

Wote walioteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa wanajitoa akili kutaka kuiangamiza chadema, msajili wa vyama vya siasa, mwenyekiti tume ya uchaguzi, IGP, DED na majaji wa Mahakama wote wanaitafutia CHADEMA makosa.

Hii haitakuwa haki kwa CHADEMA kuhukumiwa na mpinzani/hasimu wake kisiasa. Wakitaka kuihukumu chadema walete chombo huru kisicho na maslahi yoyote kisiasa Tanzania
Wanaiogopa CHADEMAAAAA mkuuu wanatetemekeaaaa
 
Hili suala laki la kupigwa risasi lazima wote hawa wahojiwe:

1.Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni- kushindwa kutoa barua kwa wakati
2. Kamanda wa Polisi wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni- kushindwa kuthibiti maandamano ya amani
3. Viongozi wa Chadema- kujiridhisha kama walihamisisha maandamano ya wananchi na kama walikuwa na silaha
Ili kuleta uwiano wote hawa waathibiwe wote
Point mkuu, wao wamewaganda chadema, wakati chadema wao ni wa mwisho kabisa, nineona uzi huku kaka 1 aliyekumbwa na hii kadhia akidai alishuhudia hayo maandamano, askari walipiga risasi sehemu ya akina mbowe na ule upande mwingine hata mabomu hayakupigwa, ina maana walimkusudia wamtoe roho, na hat hivyo anadai wakati akiwa amejificha saloon 1 ya kike ambapo wengi walikuwepo, aliwasikia askari wakitamka huyu mbowe kaponyokaje, ina maana walimkusudia mbowe na walishapata go ahead wamtoe roho, mbaya zaidi nimeona uzi mwingine ukisema kuwa askari wameenda sehemu alizopotelea mbowe na kuuliza nyumba 1 hadi nyingine kuwa nani alimficha mbowe, nimebaki nashangaa sana kwa hili wanalotaka kufanya
 
Je, huu ndio mwanzo wa mwisho wa ccm?! Tunaona wananchi wanaichoka CCM sasa inatetewa na kila chombo cha dola na vyenye kutoa maamuzi.
Msajili wa vyama, tume ya uchaguzi, polisi na mahakama vyote vime side na ccm. Sasa makosa ya Serikali wanataka yatumike kuihukumu CHADEMA.

Wanaanza kusema CHADEMA ifutwe ilikuiondolea CCM upinzani. Wameona CCM imeshindwa kujitetea yenyewe sasa wanatumua vyeo vyao walivyopewa na mwenyekiti wa ccm kuimaliza CHADEMA.

Wote walioteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa wanajitoa akili kutaka kuiangamiza chadema, msajili wa vyama vya siasa, mwenyekiti tume ya uchaguzi, IGP, DED na majaji wa Mahakama wote wanaitafutia CHADEMA makosa.

Hii haitakuwa haki kwa CHADEMA kuhukumiwa na mpinzani/hasimu wake kisiasa. Wakitaka kuihukumu chadema walete chombo huru kisicho na maslahi yoyote kisiasa Tanzania

Hakuna baya kama kufuta upinzani (CHADEMA for that matter), upinzani utakao ibuka labda hata serikali na CCM hawatauhimili. CHADEMA ni upinzani wa kistaarabu, ukianza usio wa kistaarabu ndio tutaanza ikumbuka CHADEMA. I can bet.
 
Unasema wananchi wanaichoka CCM wakati ni CCM hiyo hiyo inazidi kuwapokea wanachama wa Chadema wakijiunga nayo,huo utafiti wako umeufanyia wapi? Pambana na hali yako
Unggejua siri ya mtungi baba wala usingesema, watu wanatishiwa kutolewa roho, ukigoma hongo unapewa jibu 1 tu, hutaki unauwawa, watu wana familia nani atazilea, ukigoma unafanywa kama diwani wa hananasifu
 
HILO LICHAMA LINAENDESHWA NA MAJAZBA NA MIHEMKO NA WAPIGA DILI...PESA ZA LOWASA MLIZOTUMIA WAKATI WA UCHAGUZI 2015 ZIMEKWISHA, SASA JUA KALI MPAKA MFUKONI DADAKI, NA BADO...
MMEGUSA MBONI YA JICHO LA MUNGU KWA KUTAFUTA KUONDOA AMANI NCHINI KWETU TANZANIA.....AMIN AMIN AMIN NAWAAMBIA HASIRA ZA MUNGU MKUU ZIKO JUU YENU MILELE; MTAUZA CHUMVI WAKATI WA MVUA NA MTAUZA SIAGI WAKATI WA JUA, KABLA HAMJAPANGA MAANDAMANO YA FUJO MTAKUWA MNAITWA KWENYE MISIBA YA WATOTO WENU; MWENYE MASIKIO MA AYASIKIE!
Du, mkuu yote yanayofanyika nchini mpaka viongozi wa dini wanaingilia kati unaona ni poa tu, aisee daah
 
Hivi wewe viongozu ndio wananchi? Tofautisha.
Hee.....kumbe viongozi siyo wananchi,ina maana viongozi wameshushwa hawakutokana na wananchi, la haulaaaa.....!!!!!! na hao wananchi 272 waliojiunga juzi na CCM kutoka vyama vya upinzani huko Kondoa, Loliondo na kwingineko siyo wananchi? Wewe utakuwa hauko sawa
 
Unggejua siri ya mtungi baba wala usingesema, watu wanatishiwa kutolewa roho, ukigoma hongo unapewa jibu 1 tu, hutaki unauwawa, watu wana familia nani atazilea, ukigoma unafanywa kama diwani wa hananasifu
Hayo majungu yenu tu mbona tupo nchi hii hii lakini hatuyaoni hayo, hata hivyo yule wa Hananasifu hakuwa Diwani bali alikuwa Katibu wa Chadema wa Kata ya Hananasifu
 
Hayo majungu yenu tu mbona tupo nchi hii hii lakini hatuyaoni hayo, hata hivyo yule wa Hananasifu hakuwa Diwani bali alikuwa Katibu wa Chadema wa Kata ya Hananasifu
endeleeni kuua baba endeleeni kwani mtaishi milele, 2020 jiandaeni kumwaga damu ya halaiki,
 
Hee.....kumbe viongozi siyo wananchi,ina maana viongozi wameshushwa hawakutokana na wananchi, la haulaaaa.....!!!!!! na hao wananchi 272 waliojiunga juzi na CCM kutoka vyama vya upinzani huko Kondoa, Loliondo na kwingineko siyo wananchi? Wewe utakuwa hauko sawa
Hahaha hao ccm wenyewe wanaigiza. Mwananchi ajiunge ccm afuate nini?! Najua watu wanaogopa kufa lakini bila hivyo hakuna wa kujiunga na wauaji.
 
Hayo majungu yenu tu mbona tupo nchi hii hii lakini hatuyaoni hayo, hata hivyo yule wa Hananasifu hakuwa Diwani bali alikuwa Katibu wa Chadema wa Kata ya Hananasifu
Hahaha mpaka ufe tukuandike humu, huwa mkishiba mna mbwembwe sana
 
Mi huwa najua mtoto huiga kwa wazazi wake, sema tu mtoto huyo kazidisha maradufu, system ya chama hiyo, huyu kawazidi tu wenzake wote
Akizidi kusukuma iko siku wananchi watasukuma pia, acha avimbe kichwa kwa kuonea watu, haya uwa yana ukomo, hata punda anachoka, na akichoka hulala chini au hukimbia na kuanza kurusha mateke kujihami. Hakuna jipya chini ya jua, iko siku wataamka waliolala.
 
HILO LICHAMA LINAENDESHWA NA MAJAZBA NA MIHEMKO NA WAPIGA DILI...PESA ZA LOWASA MLIZOTUMIA WAKATI WA UCHAGUZI 2015 ZIMEKWISHA, SASA JUA KALI MPAKA MFUKONI DADAKI, NA BADO...
MMEGUSA MBONI YA JICHO LA MUNGU KWA KUTAFUTA KUONDOA AMANI NCHINI KWETU TANZANIA.....AMIN AMIN AMIN NAWAAMBIA HASIRA ZA MUNGU MKUU ZIKO JUU YENU MILELE; MTAUZA CHUMVI WAKATI WA MVUA NA MTAUZA SIAGI WAKATI WA JUA, KABLA HAMJAPANGA MAANDAMANO YA FUJO MTAKUWA MNAITWA KWENYE MISIBA YA WATOTO WENU; MWENYE MASIKIO MA AYASIKIE!
Huyo Mungu asikilize pumba hizi ulizotapika hapa? Labda si Mungu nimjuaye.
 
Sasa chadema inashitakuwa au viongozi wake ndio wanashitakiwa?!
 
Back
Top Bottom